Unaitaji maombi..wacha tukuundie tume umu ya kukuchunguza..au ndo njia ya kutafuta mchumba?..Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.
Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.
Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...
Karibuni




Kwanza atampa wakat mgumu wa training za bed...aya ndo yale yale tusal kwanza kabla ya ku do...Hayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Huyu ndio bikira?kama ana 40 kwa miaka hiyo lazima ana matatizo
Hasa kama topic yenyewe ni ur own creation...du report abuse bana
everybody is banned...hadi mtoa mada yupo banned!!!
MmmmhHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Vumilia mpendwa..Bado kitambo kidogo turudi mbinguni kwa babaIpo mpendwa japo majaribu ni mengi kwakweli
Utpigwa vijembe, we subiri tu wenzako waje, watasema bikra is overrated na ulijichelewesha kupata utamu.*I thank God sikuoa Mke wa mtu *
Haya ni maneno ya Shemeji yenu siku ile ya harusi.
Huwa najiona wa thamani sana kwake.
. Na nimemwambia nitakuwa mwaminifu hata kufa.
Mdada wanaume wanaopenda wasichana watulivu wapo tele jitunze tu weka msimamo had I mwisho..
Njia iliyonisaidia mimi ni shule..nilisoma kutwa drs la kwanza had I la saba kisha nikaenda boarding form one had six shule za wasichana tu na za masista
Walimu wasumbufu walikuwepo ila kwa neema za mungu nilivuka salama.
Sala yangu kwa mungu ilikuwa *mungu naomba unipe mume mwema awe ni ( nikataja sifa zake dhehebu ilikuwa miongoni)
Nikaongeza na vile unavyoona vitanifaa baba.
Nilipata mchumba hiyo hakuamini nilivyomwbia sijawahi hadi ndoa. Ilibidi anitambulishe kwa marafiki, ndugu na jamaa...
Akatoa posa, mahari kisha ndoa. Tuna watoto wawili sasa na tunaivshi maisha ya Furaha na ya kumpendeza mungu
On the other side nilikuta hajamaliza mahusiano na Dada aliyemzalisha.
.. a very painful story...ila kwa sababu ni MTU unaishi nae na mnapata watoto nilichukua jukumu la kumsamehe na kuendelea kumpenda..
Urithi wa mwanamke juu ya ardhi ni juu ya mwanaume aliyemtoa bikira.
Ninafahamu hilo mkuu.. Wanasemaga maneno meeeengi but I didn't care..Utpigwa vijembe, we subiri tu wenzako waje, watasema bikra is overrated na ulijichelewesha kupata utamu.
Lakini truth be told, wanaume waliobahatika kuoa "wasio wake za watu" wana bahati sana.
blah blah zao nyingi hazikubadili msimamo wangu.Mmmecheka si mgeanzisha uzi wenu 😀 😀 😀 😀 😀Wanaume tunaopenda wanawake mabikira tukutane hapa!
Preciouss hii quote yangu mbona ya uzi mwingine au topic zimeunganishwa sina habari?Why wapo banned??kosa gani??
Naona wameunganishaPreciouss hii quote yangu mbona ya uzi mwingine au topic zimeunganishwa sina habari?![]()
![]()
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
HahahahaaUko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
Hahaaaa! Wameshasikia lakini. Wangoje huko PM![]()
![]()
![]()
shshshhhhhhhh
Nyamazaaa