Wacha ni mtetee tu my kaka mana namjua tabia yake na ingekuwa kabadilika asingenipa kazi ya kukutafuta huku kwamba ukija nimuite.Jamaniiii
Ko umeamua kumtetea siyooo

Hili kundi halikufai tena...Niambie Mr T
Kwa nini uliamua kunitoa kwenye orodha ya watu sealed lakini????
Kawaje?Mmmmh
My wii, kakako kabadilika mnooo
Utadhani "usizini" waliambiwa wanawake tu. Watuache tupate bikra wenzetu.

MmmmhWacha ni mtetee tu my kaka mana namjua tabia yake na ingekuwa kabadilika asingenipa kazi ya kukutafuta huku kwamba ukija nimuite.![]()
![]()
MmmmhHili kundi halikufai tena...
Thats why i use to call you "my woman" not "my girl"
Endelea kumtetea lakini ukweli anao yeyeKweli tupuu![]()
![]()
MfyuuuuHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo



Ndiooo my wiii!!!
Mwambie Sakayo atulie bhana...Wacha ni mtetee tu my kaka mana namjua tabia yake na ingekuwa kabadilika asingenipa kazi ya kukutafuta huku kwamba ukija nimuite.![]()
![]()
Ninafahamu hilo mkuu.. Wanasemaga maneno meeeengi but I didn't care..
Marafiki ndio haswa waliokuwa tofauti na mimi walinisuta et nikifika chuo nitachekwa![]()
![]()
blah blah zao nyingi hazikubadili msimamo wangu.
Mimi nataka mwanaume ambaye hapendi kuoa Mke aliye wake peke yake aje hapa aongee.
Uneshasalia dada! Maana umri huo wenzio ni mama za watu kabisa. Kinachonishangaza juu ya vyote bado unafeel proud!! Hivi huoni aibu kwa umri huo unatakiwa uwe umeshajua upuuzi wa wanaume liasi kwamba haudanganyiki tena??? Unatakiwa uwe ateast na mume/mtoto. Badala yake unatangaza kabisa kwa maringo eti bado kimeziba! ShameNina 29 sasa
