Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,102
- 122,469
Niambie Mr TUkimuona wifi yako huku nitag..
Wiii wa mie, nakuhamuUsijali kaka ake nimeshaweka kambi namsubiria hapa wala sitoki.
Mzima lakini kaka?
Yani acha tu, ni shughuli sio kidogo, si unaona hata confession ya Ms mol amesena alijitunza weeeeh ila kumbe mumewe used na anaendelea kutumika hata baada ya ndoa. Haya mambo magumu sana. Hadi nipate bikra mwenzangu.
Itabidi my mwisho wa siku ukubaliane tu mana kumpata aliye nayo sio rahisi.Hata nami pia nimekuhamu.Wiii wa mie, nakuhamu

Wao hawatakiwi kuwa na bikira. Kazi yao kutoa za kwetu halafu wanategemea kupata mke mwenye bikira!Hivi panazibaga eeeh!! Sasa tatizo mabikra wenzetu hawapatikani.
My wii kwa nini unisuse hivyo jamani....Hata nami pia nimekuhamu.
Nilikuwa nakuwinda hapa ila nimeshukuru umeshamuona kaka.![]()
![]()
Mzima weye?
Hebu jivunie my wi.Niambie Mr T
Kwa nini uliamua kunitoa kwenye orodha ya watu sealed lakini????

Utadhani "usizini" waliambiwa wanawake tu. Watuache tupate bikra wenzetu.![]()
![]()
Itabidi my mwisho wa siku ukubaliane tu mana kumpata aliye nayo sio rahisi.
Hao wanajua kusema wenzao wajitunze ila kwa upande wao ni ngumu.
MmmmhHebu jivunie my wi.![]()
![]()
![]()
Wao hawatakiwi kuwa na bikira. Kazi yao kutoa za kwetu halafu wanategemea kupata mke mwenye bikira!
HeeeUtadhani "usizini" waliambiwa wanawake tu. Watuache tupate bikra wenzetu.
My wii kwa nini unisuse hivyo jamani....
Mie nipo, majukumu tu yanabana...
Kakako namuandalia talaka mie, kafanya maajabu kule kwenye familia....
Sijamuona wala, ila Ukimuona mpe salamu zangu
HahahaSijakususa my wi nadhani twapishana.
Hebu wacha hizo, au ndio ushapata contact za yule mwarabu nini?
Hana tabia hiyo mbona itakuwa umemvuruga labda.Mmmmh
My wii, kakako kabadilika mnooo

JamaniiiiHana tabia hiyo mbona itakuwa umemvuruga labda.![]()
![]()