Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Anawadanganya watoto wa primary...Halafu jiulize kwa nini ana hasira hivyo..Mana Naona anagombana Na kila anayemchallenge.Sasa nimeamini kweli Ana Bikira mana nasikia Ni wakali Na hawashauriki
Kosa lake ni kijitangaza kuwa nayo si jambo la ajabu maana ushamba nao unachangia kumfanya mtu aogope wanaume
 
Wanaume onja onja plus wanawake wasio na bikra ni shiiiidaaaaa
 
Samahani kwa wale mtakaokwanzika na maneno yangu japo najua sina lengo la kumkwanza mtu. Humu ndani memba wote naamini ni watu wazima na wenye heshima za kutosha, lakini mtu akileta Uzi wake kama huwezi kuchangia bora unyamaze kuliko kutoa matusi, binafsi nachukizwa sana na matusi na huwa sipendelei kunyamaza pale ninapohisi natakiwa kusema jambo linaloniumiza.

Nimekuwa nafuatilia sana namna tunavyochangia mawazo na ushauri kwa mwenzetu anaehitaji mchango wetu kimawazo. Nashukuru Mungu kuna watu humu wana busara na siku zote hutoa majibu yenye staha njema kabisa na kwa moyo wangu wote huwa napenda kuwapongeza.

Swali hivi matusi kwa jamii yetu ni sehemu ya maadili au malezi mabovu? Lakini pia tukisema malezi bado tutawakosea wazazi wetu maana huenda wazazi waliwajibika ipasavyo ila pear group au bangi na madawa ya kuvuruga akili ndio sababisho? Naomba tubadilike wana JF na kama huwezi kuchangia kwa maneno ya busara sio lazima uchangie. Samahani kama ntakuwa nimewakwaza ila nimeongea kwa nafasi yangu.
Mkuu umenena tena kwa busara na hekima,mi nawaona watoao matus hil group haliwafai kwa ushaur bora wangehamia FB,huko ndiko mahal pawafaapo,Mtu mwenye hekima hawez kutoa matus mbele ya hadhira,ilhal kuna rika tofaut hapa tena wengine tuna heshima zetu hapa,inanikera sana hii kama baadhi ya Watu wanavyokereka ila hawasem ila ni wachache wasemao kama sie,kwa hiyo ni muhim ukimya kuliko kushuka pumba
 
Bidada, yule jamaa alotaka kuuza nyumba yako hakufanikiwa kabisa?? Hongera, linda sana tunda lako lijeliwa na mume wako tu. Lakini, mwomde Mungu sana, huyo mume asije kuwa kiwembe aliyesha chezea yale mapapa ya mujini. Siku ya kukubanua unaweza chukia tendo la ndoa kabisa. Usikubali kujifunza kwa mapicha, ukimpata mwenye heshima utafurahi sana
 
Samahani kwa wale mtakaokwanzika na maneno yangu japo najua sina lengo la kumkwanza mtu. Humu ndani memba wote naamini ni watu wazima na wenye heshima za kutosha, lakini mtu akileta Uzi wake kama huwezi kuchangia bora unyamaze kuliko kutoa matusi, binafsi nachukizwa sana na matusi na huwa sipendelei kunyamaza pale ninapohisi natakiwa kusema jambo linaloniumiza.

Nimekuwa nafuatilia sana namna tunavyochangia mawazo na ushauri kwa mwenzetu anaehitaji mchango wetu kimawazo. Nashukuru Mungu kuna watu humu wana busara na siku zote hutoa majibu yenye staha njema kabisa na kwa moyo wangu wote huwa napenda kuwapongeza.

Swali hivi matusi kwa jamii yetu ni sehemu ya maadili au malezi mabovu? Lakini pia tukisema malezi bado tutawakosea wazazi wetu maana huenda wazazi waliwajibika ipasavyo ila pear group au bangi na madawa ya kuvuruga akili ndio sababisho? Naomba tubadilike wana JF na kama huwezi kuchangia kwa maneno ya busara sio lazima uchangie. Samahani kama ntakuwa nimewakwaza ila nimeongea kwa nafasi yangu.
Hivi mkuu mitusi ya mleta uzi nayo umeiona?
 
Back
Top Bottom