Wanawake mabikra tukutane hapa

Wanawake mabikra tukutane hapa

Hongera kwa hilo dada na Mungu akupiganie zaidi. Embu kwanza tupatie mrejesho wa ile thread yako iliyo trend hapo nyuma kidogo yenye heading "Ameamua kuniacha bila sababu sasa anataka tuuze nyumba tugawane pesa".
 
JF nzima waweza kuwa peke yako. Hongera kwa kujitunza.
 
b3d45d698760cf5c798da5c002190248.jpg
 
29 years then bikra hiyo haiwezekani kama sio kwa dushe basi itatoka yenyewe.
 
Ni pm haraka nikutolee hio kitu. Hio ukifikisha tu miaka 35 ukiwa nayo ni ugonjwa tayari. Bikira ni hatari kwa Afya yako ila Kwa Upande Wa MUNGU wako Itunze hadi kufa hakuna shida
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza

Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.

Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.

Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.

Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.

Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.

Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...

Karibuni
Nyinyi ndo ukubwani mwenu mnakua masugar mamy. Baada ya kuonjeshwa utamu mnaanza kuonja kila ladha ili mjue nini tofauti.

Kama upo serious, bikra haipunguzi wala haiiongezi chochote kwenye maisha ya ndoa. Labda zile zenye kuabudu tamaduni za bikra
 
Wenye nazo huwakuti wakitangaza achilia mbali kusema tu, wacha kupiga watu changa la macho kwanza bikira sio deal siku hizi.
 
haki ya nani fuatilia hadi mwisho utajikuta upo peke yako
 
Bikra haitangazwi huyu atakuwa anatudolishia hajui kuwa na sisi tulikuwa hivyo kabla ya kuwa hivi.
Ila wakumuhurumia tu maana anapitwa na mengi kwa kung'ang'ania kuitwa bikra.
 
Back
Top Bottom