Wanawake kwa fitina P square chali.

Wanawake kwa fitina P square chali.

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Kundi la p square hatimae limevunjika kundi hilo la wasanii mapacha Peter na Paul limevunjika rasmi huku sababu zikiwa ni wanawake walio waoa hivi karibu wametia fitina zao.
 

Ugomvi wa ndugu hauna talaka! Yatakwisha soon na maisha yataendelea kama kawaida.

Hebu weka source ya hii habari.
 
Daaa ndio maaana wahenga wanasema sio kila kitu cha kumshirikisha mke sasa unaona walichofanya hao wanawake matahira kwa kuvunja kundi na usishangaee kusikia bifu zinaanza baina yao
 
Mmmh ndugu wakigombana waache watapatana mda sii mwingi
 
soma habar uelewe walitofautiana kidogo lakini halijavunjika nahisi hiyo ni njia ya kubust biashara yao kwani wimbo wa testmony haukushika hatamu kama alingo na personally,kama ujui tangu hiyo habari imetokea idadi kubwa imeongezeka kuutazama huo wimbo youtube na sehem zingine pamoja na kipigwa sana radioni,inaitwa kick
 
Weka source acha uongo..

Habari niliyo kutana nayo katika pita pita zangu kwenye mitandao ni hapa....

square_full.jpg

Msemaji wa P-Square azungumzia habari za kuwepo ugomvi mkubwa kati yao uliomhusisha kaka yao na mke wa Peter



Wiki hii mitandao ya Nigeria iliripoti kuwa kulikuwa na ugomvi mkubwa kati ya mapacha wanaounda kundi la PSquare, Peter na Paul Okoye na kwamba walitaka kupigana wakati wakiwa mazoezini.
Habari hizo zilichochewa na tweet ya kaka yao mkubwa ambaye ni meneja wao, Jude Okoye iliyootafsiriwa na mitandao hiyo kuwa huenda ameachana na kundi hilo baada ya kuwepo ugomvi kati yake na ndugu hao kutokana na msimamo wake wa kutohudhuria ndoa ya kisasa ya mdogo wake itakayofanyika Dubai.
Mitandao hiyo iliandika kuwa Jude Okoye hapatani kabisa na mke wa Peter Okoye, Lola Omotayo.
"After over 10 years of hard work, it's over. Am done." Alitweet Jude Okoye.
Hata hivyo, msemaji wa kundi hilo anaejulikana kama Bayo Adetu amekanusha habari hizo wakati akiongea na Premium Times na kudai kuwa hafahamu habari hizo zimetoka wapi.
"I am too busy to give some wanna be blogger traffic, I don't know where that report is coming from. Maybe they just want to get traffic to their site. It's baseless and untrue." Amesema Bayo Adetu.
 
Kama ni kweli wamefarakana kwa sababu ya wanawake basi nao vilaza!!
 
Wenyewe hawajathibitisha kusushu huo ugomvi....
 
Kama ni kweli................ then it is true that women have always been heroes in everything............ be it good or bad!!!!!!!
 
Nimesikitika sana...huyo sijuhi Peter anasema eti yeye amekuwa anafanywa dancer mwenzie Paul singer; kati ya miziki 200 walotoa yeye ameimba mmoja tu...anasema manager wao (Kaka yao) anampendelea Peter...Women can be devils...leo ndio anaona kuwa amekuwa stage show
 
Kundi la p square hatimae limevunjika kundi hilo la wasanii mapacha Peter na Paul limevunjika rasmi huku sababu zikiwa ni wanawake walio waoa hivi karibu wametia fitina zao.

P.SQUARE wapo mbioni kuzindua albamu yao mpya, hii ishu ya ugomvi dhidi yao is just a promotional tool
 
Back
Top Bottom