nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Na ndio wamekwisha kimziki maana umapacha wao umekuwa kivutio na umewabeba somehow...siku hizi kuna kina Davido wanakuja juu (sijuhi kana miaka 20 nasikia) wao wanaremba...
Nasikia wameshaita na Lawyer wagawane mali maana they share kila kitu
Nasikia wameshaita na Lawyer wagawane mali maana they share kila kitu
Kama ni kweli wamefarakana kwa sababu ya wanawake basi nao vilaza!!