Wanawake kateni vitambi

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,882
2,762
Ukweli ndiyo huo. Wanawake, hasa nyie wadada wa makamo (26-45) pendeni sana kuwa na matumbo mazuri. Vitambi waachieni wanaume. Bila viriba tumbo mnapendeza. Fanyieni kazi tafadhali.
 
Ukweli ndio huo. Wanawake, hasa nyie wadada wa makamo (26-45) pendeni sana kuwa na matumbo mazuri. Vitambi waachieni wanaume. Bila viriba tumbo mnapendeza. Fanyieni kazi tafadhali
wengine tunapenda wanawake wenye vitambi .
vina joto lake asee waheshimiwe na wasibugudhiwe
1668866082864.jpg
 
Back
Top Bottom