Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,882
- 2,762
Ukweli ndiyo huo. Wanawake, hasa nyie wadada wa makamo (26-45) pendeni sana kuwa na matumbo mazuri. Vitambi waachieni wanaume. Bila viriba tumbo mnapendeza. Fanyieni kazi tafadhali.
wengine tunapenda wanawake wenye vitambi .Ukweli ndio huo. Wanawake, hasa nyie wadada wa makamo (26-45) pendeni sana kuwa na matumbo mazuri. Vitambi waachieni wanaume. Bila viriba tumbo mnapendeza. Fanyieni kazi tafadhali
Sahih kbsawengine tunapenda wanawake wenye vitambi .
vina joto lake asee waheshimiwe na wasibugudhiweView attachment 2427837
😅 Duhwengine tunapenda wanawake wenye vitambi .
vina joto lake asee waheshimiwe na wasibugudhiweView attachment 2427837