Daydream
Member
- Oct 26, 2023
- 58
- 328
Nakumbuka niliwahi kuingia kwenye mahusiano na binti mmoja wa ki Arusha ambae tulijuana kupitia social media, yeye alikua Arusha na mimi nilikuwa Dar es Salaam.
Huyu binti kwanza alikuwa ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikuwa anataka kugundua nini.
Ingawa nilikuwa sipendi lakini nikaona anyway kwakuwa ndo tumeanza mahusiano wacha nimridhishe
Hali hiyo haikunisumbua sana maana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call.
Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae.
Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadilishe.
Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yaani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.
Nilikuwa na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.
Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% maana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel.
Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano maana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yaani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.
Huyu binti kwanza alikuwa ananikera kitu kimoja, anapenda sana video call sasa sijui alikuwa anataka kugundua nini.
Ingawa nilikuwa sipendi lakini nikaona anyway kwakuwa ndo tumeanza mahusiano wacha nimridhishe
Hali hiyo haikunisumbua sana maana nikajua kadri tutakavyozoeana nitamueleza ukweli kwamba mimi sio mpenzi sana wa video call.
Tulipanga kuonana na nilimuahidi kwamba ningeenda Arusha kuonana nae.
Huyu binti alinivunja moyo kitu kimoja, kabla hata sijaenda kuonana nae kwa mara ya kwanza akanipiga mzinga wa 80k akidai kioo cha simu yake kimepasuka hivyo anataka akakibadilishe.
Alivyonambia hivyo tu nikaona hapa hamna mtu, yaani hata kuonana physically kwa mara ya kwanza bado hatujaonana lakini nishapewa invoice ya 80k wakati yeye mwenyewe anafanya kazi na ana kipato.
Nilikuwa na uwezo wa kumpa ile hela lakini niliona mbona mapema sana kashaanza kuleta matatizo yake it means yupo after something.
Huyu binti nilimkatia mawasiliano 100% maana niliona hana tofauti na Golddigger na safari yenyewe nilii cancel.
Ni kweli wanawake mnahitaji kuhudumiwa na wanaume ila jitahidini kuficha shida zenu mwanzoni tu mwa mahusiano maana mtajikuta watu wanapiga kisha wanatembea yaani ni kama vile kununua malaya Riverside kisha kila mtu anachukua hamsini zake.