Wanawake inawahusu hata wanaume pia

Wanawake inawahusu hata wanaume pia

"mimi ndio NYANDU, mwana-dsm, MASELA wa kwangu, MADEM wa platnum!"
 
alafu mkuu kama umechunguza kwa makini utaona wanapiga hivi wakiwa wamevaa vimini skirt au skin jeans huwezi kuona wanapiga hizi picha huku wamegeza shingo na kichwa nyuzi 360 wakiwa wamevaa madira/madela
 
alafu mkuu kama umechunguza kwa makini utaona wanapiga hivi wakiwa wamevaa vimini skirt au skin jeans huwezi kuona wanapiga hizi picha huku wamegeza shingo na kichwa nyuzi 360 wakiwa wamevaa madira/madela

Umeona eh mkuu Mndengereko hapo chacha ndo penye shida mjomba
 
Last edited by a moderator:
nikiona nnye tu halafu likiwa linatingishika ninachowaza ni ngono tu
 
Huko nyuma ndo panakamilisha uanamke
nasi tutawaonesha tu....

ningekua rais wa jamuhur ya muungano wa tz,nisingepiga marufuku uvaaji wowote wa nguo kwa akina dada,yan kama ni mini,leging,we piga tuu,maana kwa hali ya maisha bla nyie kutuliwaza na jins mlivoumbika,sidhan kama mi bnafsi ningeweza fika umri huu mpaka leo,napenda sana wanawake wanaopendeza,hasaa wavaa vimin hakyanani
 
hizo zooooote ni mbinu tu za kumkamata mwanaume!

imagine dunia hii tungekuwa tunaishi bila kuvaa nguo!
 
ningekua rais wa jamuhur ya muungano wa tz,nisingepiga marufuku uvaaji wowote wa nguo kwa akina dada,yan kama ni mini,leging,we piga tuu,maana kwa hali ya maisha bla nyie kutuliwaza na jins mlivoumbika,sidhan kama mi bnafsi ningeweza fika umri huu mpaka leo,napenda sana wanawake wanaopendeza,hasaa wavaa vimin hakyanani
Naomba nikutumie kapicha kangu nimevaa kimini kama hautajali....
 
Back
Top Bottom