kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikishuhudia wadada na wanawake wakipiga picha wanageuka sasa sijajua kwanini kwanini hampigi picha zenu kwa muonekano wa mbele nyuma kuna nini kwani?kwa wapenda picha Eiyer msaada tafadhali
umewaona wapi?ama we mpiga picha?
kwani ulitaka tuoneshe mbele?
wakati mbele kila wakati mnakuona
Kila wakati tunapaona?
Kivipi?
kwani ulitaka tuoneshe mbele?
wakati mbele kila wakati mnakuona
baba paroko hata wewe tena jamani
kumbe unaonaga mbele unapowalisha sacrament eheee?
kumbe aaah nilikua sijajua