Inatokeaga hii automatically. Siyo kwamba ulipanga noo, ila ndo inatokea Mdada nawe umekuwa hitter&runner
Mnapanga fresh kumeet na jamaa mkakojoleana but cha ajabu unafika kule match hujaielewa, ndo ivo ukiondoka unakuwa umeondoka na blocks kwa sana au kalenda zinaanza, kumbe hujaelewa mchezo, hujaelewa yaani.
So wanaume tukisema tunataka ndoa kabla ya sex muwe mnatuelewa bas, at least huko ndani tutavumiliana. Sometimes money is not everything aisee, kama ambavyo huwa hampendezwi na kitu nasi ni ivoivo kaka zangu.
Kwa wanawake tu kama imewahi kukuta, mwanaume ukisoma ukijisikia kutukana ni ruksa, napokea +ve & -ve comments