Wanawake ‘hit and run’

Wanawake ‘hit and run’

Leo nilimkumbuka mwamba flani id nimesahau.

Slogan yake humu ni kuoa bikira
Leo hii kitu niliiwaza sana kwasababu kuu 2:

1. Mwanamke aliye liwa liwa sana huwa anafanya ulinganifu aina za kukojozwa

2. Yuko so confused kwa feelings zake kwani anashindwa yupi ni yupi

Note: sometimes kuanza na mwanamke mshamba wa wanaume kuna faida katika kudumu kwa mahusiano/ndoa.

Nilikumbuka tu hii haina uhusiano na uzi
Ha ha ha,vinahusiana kabisa mbona
 
Jana kuna dada nmepishana nae njiani ananuka K vibaya jamani K ikiamua kunuka inanuka, dada zangu mliopo humu hakikisheni K zenu mnaziosha vizuri na hazitoi kale kaharufu wengine ni kero kwetu yaan km kuna mzoga uliokufa siku 3/4 umekufa, mda wote nilikua natema mate chini alafu alikua na Jamaa yake wameshikana mikono Jamaa ile harufu sijui alikua haisikii au ndio kujikaza kisabuni K inanuka vibaya jamani K inanuka jaman

Sorry nipo nje ya mada wakuu,
Kwa kweli havihusiana ila huenda ni visababishi pia game kuwa underperformance
 
Hii ipo against the law of nature, wewe angalia hata kuku(jogoo) unayemfuga hapo nyumbani anavyofanya utaielewa asili.
Nguvu ya asili inayoutawala uhai wa mnyama au ndege ni ile ile inayoyatawala maisha ya wanadamu.

In a very brief way mwanamke kuwa hit & run ni tabia za “ukimbulu” (abnormal)
 
Kuna viumbe Mungu akiviangalia mpaka anachoka yani kama sio kazi ya mikono yake Binadamu nikiumbe pendwa sana ila ndiye ambaye hana hofu juu ya Mungu kabisaaaaaaaaaaaaa bora hata shetani
 
It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
 
It happens ndio 😂. Sometimes una nyege zako unataka tu sex, huna haja na relationship kwa wakati huo, sometimes unakuta ndio hivo ulimfancy jamaa hatari afu inafika kwa 6*6 hujamwelewa mbaya zaidi feelings zimesepa na nyege 😂.
Kha! Ila mie napenda sana wanawake wanao admit kuwa sometimes nyege zinazidi inabidi tuu upate de libolo
 
Hilo kanisa leo itabidi nije maana ulokole wenu mtamu kweli
Walokole walikuwa wa miaka ya 90.
Siku hizi haya makanisa yao yako kama mengine tu.
Unakutana na mwanamke humo tumemzalisha wanaume 3 tofauti na ni mzee wa kanisa.
Mabinti wanapata mimba hawajaolewa na wanaendelea kusali humo.
Kuna wazee Wana wake wengi Ila wapo humu.
Unakuta wamemchukua mke wa 4 wa jamaa na bado anaishi na jamaa.
Imefika stage maisha ya unafiki yamewashinda wamerudi kwenye uhalisia wao
 
na mwanaume pia ni hivyo malaya, lakin kiuelewa wetu mwanaume akiwa hivyo anaonekana lijali ila wewe unaonekana mrahisi (marage ya mbeya) watu wanakuweka tu na wanakutema within 24hrs
Social perception aka social blind perceptual. Yaani kisa dume mfume wao wameamua kujihararasishia madhambi yao. Tupo dunia inayoharalisha haramu na inayoharamisha halali.

Ni sawa na wezi serikalini ama viongozi tuliowapa madaraka Mara wamehalalisha wizi wao ili nafsi zao ziridhike utasikia urefu wa kamba ,marupurupu, posho posho ,ndio kula kwa kalamu,kusoma kuzuri,su aka Suma ule ,n.k
 
Social perception aka social blind perceptual. Yaani kisa dume mfume wao wameamua kujihararasishia madhambi yao. Tupo dunia inayoharalisha haramu na inayoharamisha halali.

Ni sawa na wezi serikalini ama viongozi tuliowapa madaraka Mara wamehalalisha wizi wao ili nafsi zao ziridhike utasikia urefu wa kamba ,marupurupu, posho posho ,ndio kula kwa kalamu,kusoma kuzuri,su aka Suma ule ,n.k
Acha tu yaan...sikuzote nyani haoni kundule
 
Back
Top Bottom