Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,361
- 91,911
- Thread starter
- #141
Ha ha ha,vinahusiana kabisa mbonaLeo nilimkumbuka mwamba flani id nimesahau.
Slogan yake humu ni kuoa bikira
Leo hii kitu niliiwaza sana kwasababu kuu 2:
1. Mwanamke aliye liwa liwa sana huwa anafanya ulinganifu aina za kukojozwa
2. Yuko so confused kwa feelings zake kwani anashindwa yupi ni yupi
Note: sometimes kuanza na mwanamke mshamba wa wanaume kuna faida katika kudumu kwa mahusiano/ndoa.
Nilikumbuka tu hii haina uhusiano na uzi![]()

