Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,467
Usikwepeshe mkuuKabisa mkuu
Usikwepeshe mkuuKabisa mkuu
NakuelewaMulemule
Namuonaga tu nacheka sanaHa haa,jamaa ni so fun


Ha ha ha,hizo emoji hizo mweeMwendo n huo huo kwa wt aijalishii umeridhisha au ujaniridhishaa,CLALI NA DEM MARA MBILII fck**
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana, Kuna binadamu anaweza kukuganda mpaka ukahisi ni jini.Ha ha ha,sawa mkuu
Show MbovuInatokeaga hii automatically. Siyo kwamba ulipanga noo, ila ndo inatokea Mdada nawe umekuwa hitter&runner 😜
Mnapanga fresh kumeet na jamaa mkakojoleana but cha ajabu unafika kule match hujaielewa, ndo ivo ukiondoka unakuwa umeondoka na blocks kwa sana au kalenda zinaanza, kumbe hujaelewa mchezo, hujaelewa yaani.
So wanaume tukisema tunataka ndoa kabla ya sex muwe mnatuelewa bas, at least huko ndani tutavumiliana. Sometimes money is not everything aisee, kama ambavyo huwa hampendezwi na kitu nasi ni ivoivo kaka zangu.
Kwa wanawake tu kama imewahi kukuta, mwanaume ukisoma ukijisikia kutukana ni ruksa, napokea +ve & -ve comments
Yani tatizo la hawa ndugu zetu ukiruhusu match zaidi ya mbili au tatu wanakuwaga na mazoea flani ya kindezi sana. Unaweza kushangaa anakupigia simu usipopokea ukija kupiga wewe inakuwa vita. Huwa nabaki kucheka kwakweli.Ni kweli mie siwezi kurudiaga mechi walahi