Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,155
Reaction score
14,221
Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke

Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu ana watoto wawili wadogo.

Aisee wahuni acheni kuwalaghai wake za watu how come unakuwa interested na mke wa mtu mwenye watoto wawili..
 
Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke

Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu ana watoto wawili wadogo.

Aisee wahuni acheni kuwalaghai wake za watu how come unakuwa interested na mke wa mtu mwenye watoto wawili..
Hii mbn km ugomvi wa mpangaji wangu na mkewe, ilikua juzi tu,yule mwanamke kaondoka kweli

Ila nahisi wanawake Wana enjoy sana wakiwa single,ili wafanye mambo Yao kwa uhuru zaidi
 
Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke

Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu ana watoto wawili wadogo.

Aisee wahuni acheni kuwalaghai wake za watu how come unakuwa interested na mke wa mtu mwenye watoto wawili..
Usiumize kichwa mkuu huyo mwanamke ni mwaminifu tu Kwa mumewe sema anataka kumkera mwanaume wake tu 😅 😂 😂 😂
 
Hii mbn km ugomvi wa mpangaji wangu na mkewe, ilikua juzi tu,yule mwanamke kaondoka kweli

Ila nahisi wanawake Wana enjoy sana wakiwa single,ili wafanye mambo Yao kwa uhuru zaidi
Tatizo wengi wao huwa wanakwama wanalazimika kurejea kwa waume zao.

Kuna umri mwanamke akifika , habari ya kutombwerr tombwerrr ovyo inakuwa sio jambo jema kwake
 
Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke

Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu ana watoto wawili wadogo.

Aisee wahuni acheni kuwalaghai wake za watu how come unakuwa interested na mke wa mtu mwenye watoto wawili..
Interest ni free boti😂 kwenye kulamba lolo. Vinginevyo hamna mtu anaweza kuvutiwa na mke wa mtu kama anakupa majukumu ya kumpa fedha.
 
Hii mbn km ugomvi wa mpangaji wangu na mkewe, ilikua juzi tu,yule mwanamke kaondoka kweli

Ila nahisi wanawake Wana enjoy sana wakiwa single,ili wafanye mambo Yao kwa uhuru zaidi
Mwanamke ambaye anakasirika kuwa chini ya mwamvuli wa mume jua ana asili ya umalaya. Huyo ukioa lazma atakuwa anafirigiswa kimya kimya na siku ukianza kumshtukia lazma mgombane kwa ugomvi mkubwa mno.
 
Back
Top Bottom