Wanawake haya "mawigi" yanatakiwa yakae siku ngapi kichwani?

Kuweni creative kwenye mambo ya maendeleo!
Duh! Mnatia aibu walahi!
Tuacheni na minywele yetu , tunayapenda haswa!
Kama huyapendi pasuka!
Hahahaha
 
Hee makubwa yaani ukamlazimisha awe natural bila yeye kutaka???

Tupo tusiolazimishwa nafurahia muonekano wangu asilia hata masikio sijatoga
Tatizo akili zenu huwa za kuambiwa, hongera sana kwa kuwa natural huwa nafurahi sana kumuona msichana aliye natural, wanavutia sana hata kuwaangalia. Sio unakutana na msichana kachonga makope, kabandika makope,malipstick mdomoni, kucha kapaaka marangi (tena ya zambarau au bluu),
 
Yani mimi fake ni nywele zangu tu. Sibandiki kucha sijawahi kubandika kope. Yani niko fake kwenye nywele tu. Na tukubaliane kwamba sio kila kitu Mungu atakupa kama wengine. Kama mimi kanipa kipilipili na nimekipokea nimeamua kukificha kwa nywele fake.
Kwahiyo kwakua Mungu kakupa kipili pili ndo ujione hauna maana au ...kwa maana hiyo na akili yangu ilivonituma ni kwamba, hata rangi yako nyeusi unaona haina maana unaficha na mkorogo.
 
Wanaume mnachekesha tulio natural tunaonekana washamba na tusioenda na wakati
Vichwa vyenu vya juu havitaki mawigi lakini mnasahau kuwa akili yenu ya juu imeshikwa na kichwa kidogo cha chini na abdala kichwa wazi anapenda mawigi, mnazunguka tu mulemule
Sisi tunachekesha kwahiyo umeshatugeuza sote Majoti sio.
 
Hee makubwa yaani ukamlazimisha awe natural bila yeye kutaka???

Tupo tusiolazimishwa nafurahia muonekano wangu asilia hata masikio sijatoga
Kwenye masikio kutoga kwa mwanamke na kuweka herini ndo inatakiwa, lakini unakuta mijanaume eti ndo inatoga.
 
Kuweni creative kwenye mambo ya maendeleo!
Duh! Mnatia aibu walahi!
Tuacheni na minywele yetu , tunayapenda haswa!
Kama huyapendi pasuka!
Hahahaha
Umenikumbusha chuo tuliandaa party ya crazy colour hahaha wadada walivaa mawigi mekundu meupe kijani yani ilikuwa balaaaa
 
Kwa nini hamtaki kujikubali?

Kila mmoja kaumbwa kwa uzuri asilia, tujikubali tuepukane na adha zisizokuwa za msingi
We nani alikwambia ni adha? Ulishawahi kuvaa zikakukera? Hutaki mwanamke mwenye wig wapo team natural wengi tu mbona mjini.
 
Tatizo akili zenu huwa za kuambiwa, hongera sana kwa kuwa natural huwa nafurahi sana kumuona msichana aliye natural, wanavutia sana hata kuwaangalia. Sio unakutana na msichana kachonga makope, kabandika makope,malipstick mdomoni, kucha kapaaka marangi (tena ya zambarau au bluu),
Rangi kama nyumba
 
We nani alikwambia ni adha?
Adha sio lazima uone wewe japo kuna adha mnakumbana nazo ila hamtaki kukubali, vipi ukinyeshewa mvua na wigi lako, hapo kinachotokea unakijua mwenyewe
Ulishawahi kuvaa zikakukera?
Sijawahi kuzivaa na zinakera, jee nikizivaa sio ndio itakuwa balaa zaidi
Hutaki mwanamke mwenye wig wapo team natural wengi tu mbona mjini.
Sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom