Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,244
- 88,161
Unataka nipate aibu si ndo laana hizoabeee
sio kwa nywele feki laana zitakuja
Unataka nipate aibu si ndo laana hizoabeee
sio kwa nywele feki laana zitakuja
Hahahaaa hebu angalia hii clip mpaka mwisho
aiwezekani otherwise awe mchabhaneMkurya wa Nyamongo
Nakuja nikuone kweli ujavaaJamani mimi ni mwanamke lkn siyapendi hayo makitu na kusema kweli wengi hawapendezi na hawajui kuyatunza.
Tatizo akili zenu huwa za kuambiwa, hongera sana kwa kuwa natural huwa nafurahi sana kumuona msichana aliye natural, wanavutia sana hata kuwaangalia. Sio unakutana na msichana kachonga makope, kabandika makope,malipstick mdomoni, kucha kapaaka marangi (tena ya zambarau au bluu),Hee makubwa yaani ukamlazimisha awe natural bila yeye kutaka???
Tupo tusiolazimishwa nafurahia muonekano wangu asilia hata masikio sijatoga
NjooNakuja nikuone kweli ujavaa
Kwahiyo kwakua Mungu kakupa kipili pili ndo ujione hauna maana au ...kwa maana hiyo na akili yangu ilivonituma ni kwamba, hata rangi yako nyeusi unaona haina maana unaficha na mkorogo.Yani mimi fake ni nywele zangu tu. Sibandiki kucha sijawahi kubandika kope. Yani niko fake kwenye nywele tu. Na tukubaliane kwamba sio kila kitu Mungu atakupa kama wengine. Kama mimi kanipa kipilipili na nimekipokea nimeamua kukificha kwa nywele fake.
Hayo yakoKwahiyo kwakua Mungu kakupa kipili pili ndo ujione hauna maana au ...kwa maana hiyo na akili yangu ilivonituma ni kwamba, hata rangi yako nyeusi unaona haina maana unaficha na mkorogo.
Sisi tunachekesha kwahiyo umeshatugeuza sote Majoti sio.Wanaume mnachekesha tulio natural tunaonekana washamba na tusioenda na wakati
Vichwa vyenu vya juu havitaki mawigi lakini mnasahau kuwa akili yenu ya juu imeshikwa na kichwa kidogo cha chini na abdala kichwa wazi anapenda mawigi, mnazunguka tu mulemule
Kwenye masikio kutoga kwa mwanamke na kuweka herini ndo inatakiwa, lakini unakuta mijanaume eti ndo inatoga.Hee makubwa yaani ukamlazimisha awe natural bila yeye kutaka???
Tupo tusiolazimishwa nafurahia muonekano wangu asilia hata masikio sijatoga
Kwa mujibu wa maelezo yako.Hayo yako
Umenikumbusha chuo tuliandaa party ya crazy colour hahaha wadada walivaa mawigi mekundu meupe kijani yani ilikuwa balaaaaKuweni creative kwenye mambo ya maendeleo!
Duh! Mnatia aibu walahi!
Tuacheni na minywele yetu , tunayapenda haswa!
Kama huyapendi pasuka!
Hahahaha
Hahahah Nimekuja shemejMashemeji zangu mkuje hapa mjibu hoja kama ina ukweli hapa.
cc: Shunie
Demiss
Saida Said
Mama Sabrina
Da Vinc
Kwa nini hamtaki kujikubali?I am yet to meet a man who has anything positive to say about wigs
Bado sana kukutana na mwanamme yeyote aliesifia mawigi
Kwani mtu hata akiamua kujichubua si mapenzi yake? We inakukera nin mtu kuamua kuwa yeye.Kwa mujibu wa maelezo yako.
We nani alikwambia ni adha? Ulishawahi kuvaa zikakukera? Hutaki mwanamke mwenye wig wapo team natural wengi tu mbona mjini.Kwa nini hamtaki kujikubali?
Kila mmoja kaumbwa kwa uzuri asilia, tujikubali tuepukane na adha zisizokuwa za msingi
Rangi kama nyumbaTatizo akili zenu huwa za kuambiwa, hongera sana kwa kuwa natural huwa nafurahi sana kumuona msichana aliye natural, wanavutia sana hata kuwaangalia. Sio unakutana na msichana kachonga makope, kabandika makope,malipstick mdomoni, kucha kapaaka marangi (tena ya zambarau au bluu),
Adha sio lazima uone wewe japo kuna adha mnakumbana nazo ila hamtaki kukubali, vipi ukinyeshewa mvua na wigi lako, hapo kinachotokea unakijua mwenyeweWe nani alikwambia ni adha?
Sijawahi kuzivaa na zinakera, jee nikizivaa sio ndio itakuwa balaa zaidiUlishawahi kuvaa zikakukera?
Sawa.Hutaki mwanamke mwenye wig wapo team natural wengi tu mbona mjini.