Wanawake haya "mawigi" yanatakiwa yakae siku ngapi kichwani?

Katika urembo huu wa kuvaa wigi sjui kushonea kusuka rasta hivi vmenishinda hata zile kope bandia huwez kuta nimeeka nachoahukuru nina asili ya nywele
Tuko sambamba aisee. Ila wig navaaga maramojamoja maana najikutaga sina style ya nywele yangu..kope sasa..sibandiki hata kwa mtutu
 
Ilo swala la unukaji wa wig naona ni kwawale wanaovaa wig cheap zisizooshwa...unavaa kitu Peru au Brazilian na unaiosha hiyo harufu inatoka wapi???? Binafsi weave hua inakaa kichwani kwangu kwa 1week tu

Ingawa namshukuru Mungu nywele zangu ni zaidi ya hzo wig/weave
Sio sir hongera, wiki??? Nakusifu sana me nywele zangu za mkono nikisuka zikizid siku tatu ni bahat yan naweza suka nikipiga chafya zimefumuka naishia kusuka vitunguu au kubana tu kuna muda had nataman nizikate
 
Tuko sambamba aisee. Ila wig navaaga maramojamoja maana najikutaga sina style ya nywele yangu..kope sasa..sibandiki hata kwa mtutu
Sijawah hata kubandika hayo mawigi sjawah kuvaa kabisa me nasukaga tu zamkono tena si ndogo sana kubwa tu nazo sikai nazo kabisa nakumbuka niliwah kusuka dreads Mungu wangu nilifumua ase
 
Sijawah hata kubandika hayo mawigi sjawah kuvaa kabisa me nasukaga tu zamkono tena si ndogo sana kubwa tu nazo sikai nazo kabisa nakumbuka niliwah kusuka dreads Mungu wangu nilifumua ase
Kwenye suala la nywele za mkono mimi pia ndio zangu... Sasa utakuta nimesuka tatu kichwa nimepata safari ya ghafla haha natupia wig langu naianza safari nikirudi navua naendelea na life langu la tatu kichwa
 
Kwenye suala la nywele za mkono mimi pia ndio zangu... Sasa utakuta nimesuka tatu kichwa nimepata safari ya ghafla haha natupia wig langu naianza safari nikirudi navua naendelea na life langu la tatu kichwa
Hizo tatu nikisuka leo kesho nikasuke zingine mpya nina nywele laini sema kinachonistiri n ndefu mno wigi siwezi kuvaa kabisa na sjawahi
 
Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.

Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine wakiyavaa utafikiri wametundika kwenye mti.
Mpaka litakapoanza kutoa harufu
 
Kuna dada mmoja siku moja lilimdondoka kichwani kwake... Hizo nywele zake sasa kasuka mabutu nywele kama za kichaa zina vumbi balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom