Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Habari za weekend wana Jamiiforums i hope wote wazima kabisa..
Najua watu wengi mpo closed na wazazi wenu ilo ni vizuri sana ni baraka tosha sana kuwa karibu na mzazi unamwambia vitu vyako vingi na ni mshauri kwako hasa hawa wazazi wetu wakina mama.
Ila kijana ni marufuku tena ni marufuku kushare siri zako kwa mwanamke hata kama ni mama yako mzazi usimwambie bora ufe nazo.
Hata mama yako ana mshauri wake utakavyo muomba ushauri wa magumu yako au kumweleza siri zako tambua ujue na yeye ataenda kwa mshauri wake kumweleza kila kitu.
Baba zetu tunajua ni magumu mengi mnapitia kuna muda unashindwa kuvumilia kutunza siri zako ila usimwambie mke wako bora ufe nazo.. Wanawake hawatunzi siri hawa
Note:
Zingatia hilo mkuu wanawake wengi sio watunza siri hata kama anakupenda vipi ukimwambia siri zako au mapungufu yako umeisha.
Sio wanawake wote wako hivyo kuna wengine wana moyo wa kipekee sana 8/10%
Najua watu wengi mpo closed na wazazi wenu ilo ni vizuri sana ni baraka tosha sana kuwa karibu na mzazi unamwambia vitu vyako vingi na ni mshauri kwako hasa hawa wazazi wetu wakina mama.
Ila kijana ni marufuku tena ni marufuku kushare siri zako kwa mwanamke hata kama ni mama yako mzazi usimwambie bora ufe nazo.
Hata mama yako ana mshauri wake utakavyo muomba ushauri wa magumu yako au kumweleza siri zako tambua ujue na yeye ataenda kwa mshauri wake kumweleza kila kitu.
Baba zetu tunajua ni magumu mengi mnapitia kuna muda unashindwa kuvumilia kutunza siri zako ila usimwambie mke wako bora ufe nazo.. Wanawake hawatunzi siri hawa
Note:
Zingatia hilo mkuu wanawake wengi sio watunza siri hata kama anakupenda vipi ukimwambia siri zako au mapungufu yako umeisha.
Sio wanawake wote wako hivyo kuna wengine wana moyo wa kipekee sana 8/10%