Ndugu acha tuu huo uhusika mbona nilikomeshwa nilipewa moja ya uso ikabidi nipambane kwa hoja ili nielewekeNeybright unanifurahisha unavovaa uhusika halafu very positive
Miaka kwa wanawake ni changamoto...chukulia zari thebosslady, miaka yake isingekuwa wazi ungempa miaka mingapi... kama si 28
Unajua wapi unaweza nilipa deni langu.na amount unaijua kabisa.
Nimepunguza lkni naona kimya.sikuelewi ujue!!ohooooDakika 15 nyingi sana. Punguza hizo dakika mamii!
Birthday parties zinaishaga kwenye 25. Huko kwingine ukinunuliwa zawadi ya birthday unashukuru. Ikifika 30 unanuna champaign una toss na wakaribu nyumbani, wakikutoa dinner pia salama lakini hutaki kukumbuka sana age.
Ninashtuka nikienda kwa daktari ndiyo reality inakuja.
Basiii tuuuu ndiyo nishazodaKwanini huwa unafanya hivyo sasa?
Please share na sisi hiyo faida ya kufanya hivyo.
Hiyo tabia umeanza lini my sistaMm huwa napendaa kuongezaaa
Halafu mkuu tumeanza kutaniana sio!njoo uchukue adhabu yako
Kitambo kidogoHiyo tabia umeanza lini my sista
unaaibisha familia yetu, ngoja siku ukija kutambulisha huyo shemeji..nakuchana kwa nini ufiche miaka yako wakati familia nzima tunajua??Kitambo kidogo
Una miaka mingapi Shunie?me ata sifichagi swala la umri acha nionekane tu kibibi gagula
50 mkuuUna miaka mingapi Shunie?