36![]()
![]()
![]()
pole ila ukweli utakuweka huru Ney!
Wewe una miaka mingapi sasa hivi?
Naomba uwe mshauri wangu NeyUnajua unapotaka kutoa positive reason lazima ujivike uhusika ili mtu akuelewe, ndio maana nikasema kuna mtu na mtu means sio wote, na kwakuwa watu wenyewe tunaishi nao tunajua sababu ni nini ndio maana nikavaa uhusika ila mkuu kashindwa kunielewa akaamua anipe za uso faster![]()
36 + 13 = 49




Kuna mmoja nilimwambia nina miaka 40 akakata kamba.hahahahahahahahahaha.bora niipunguze tuweze kuelewanaSiyo hao tu mkuu.
Hata humu ndani wapo wengi tu sana.
Usishangae kukutana na Miss Chaga akakwambia ana miaka 23.
Inasikitisha sana...
Hii hutokana na sisi wanaume kuwa judge wanawake kutokana na umri wao ndiyo maana...
And women always like to look and stay young...
Kwa mwanaume ukubwa ni ufahari, kwa mwanamke ukubwa ni kama gundu...
Cc: mahondaw
Umenena vyema mkuuWanapenda ujana, mwanamke mwenye miaka 25 uwezo wake ki changamoto za maisha nikama mtu mwenye miak 35, sasa akikwambia ana 35 ujue kabisa hapo mpera mpera wake niwa miaka 45,
Hivyo wanapunguza kupata uwiwano wa kimahesabu
Hahahahahahahaha wewe ndo umeua kabisaInategemea mtu na mtu bwana, wengi wetu unakuta hakuna cha maana tulichofanya na umri ndio huo umeshatutupa mkono so hatuna budi kudanganya ili tusionekane vilaza
KabisaaaaUjana ungekuwa unauzwa muuzaji angepata faida sana.
Asante mamame ata sifichagi swala la umri acha nionekane tu kibibi gagula
Hee yamekuwa hayo tena![]()
![]()
![]()
pole ila ukweli utakuweka huru Ney!
Wewe una miaka mingapi sasa hivi?
Mwenzangu ndio nimeulizwa niuweke niuweke umri wangu kwenye notes bodyHee yamekuwa hayo tena


watu wanavisa sana aiseeh cha kusikitisha nimejitahid kuwa mkweli nikaweka 36 kumbe haijamtosha mtoa mada ikaniongezea 13 kwa hisani ya mdau 

