Wanawake hawapendi miaka yao ijulikane

Wanawake hawapendi miaka yao ijulikane

kazi kuzarau vijana wenzako wanaokutongoza unakataa kisa ela
unakuta unagawa uroda kwa vibabu umri ukishakutupa mkono ndo mnaanza kuwa michepuko kwetu sisi mliotukataaga ..
Teh teh teh
 
Mnataka umri wa Wanawake, Kwani mnataka kuwaandikisha shule au mnataka kuwapa vyeti vya kuzaliwa!?
Waacheni , Wanawake waishi wapendavyo.
 
Inasikitisha sana...

Hii hutokana na sisi wanaume kuwa judge wanawake kutokana na umri wao ndiyo maana...

And women always like to look and stay young...

Kwa mwanaume ukubwa ni ufahari, kwa mwanamke ukubwa ni kama gundu...


Cc: mahondaw
 
Habari za usiku ladies and gentlemen,

Ni matumaini yangu kuwa mko salama kiafya, kiroho na kimwili. Bila kuzunguka sana ngoja niingie kwenye hoja mara moja.

Ni kwamba kwanini wanawake wengi hampendi umri wenu wa kweli ujulikane?

Inasemekana kwamba mwanamke akikwambia anamiaka 20 inabidi uongeze miaka mitano ili upate umri wake sahihi kwa sababu wanapenda sana kudanganya linapokuja swala la umri au miaka yao.

Ni sababu gani inawafanya kudanganya umri wenu? Kwani umri wenu una nini? Utafikiri umri wenu ni dhahabu aisee.

Acheni hiyo tabia mara moja nyie wanawake wote mnaoendekeza tabia ya kuficha miaka yenu halisi.

Karibuni kwa michango.
wanataka kuolewa ila ndio hivyo wakati ukuta
 
Sawa neybright...
Unajua unapotaka kutoa positive reason lazima ujivike uhusika ili mtu akuelewe, ndio maana nikasema kuna mtu na mtu means sio wote, na kwakuwa watu wenyewe tunaishi nao tunajua sababu ni nini ndio maana nikavaa uhusika ila mkuu kashindwa kunielewa akaamua anipe za uso faster
 
Unajua unapotaka kutoa positive reason lazima ujivike uhusika ili mtu akuelewe, ndio maana nikasema kuna mtu na mtu means sio wote, na kwakuwa watu wenyewe tunaishi nao tunajua sababu ni nini ndio maana nikavaa uhusika ila mkuu kashindwa kunielewa akaamua anipe za uso faster
Ila hatimae umekuwa mshindi
 
Back
Top Bottom