jiwe limerushwa gizani
Hapana aiseeh, ila nimejaribu tu kudadavua ieleweke ni kwasababu ganiNa wewe Ney huwa unadanganya?
Ndio hivyo inakuwa hakuna namnakazi kuzarau vijana wenzako wanaokutongoza unakataa kisa ela
unakuta unagawa uroda kwa vibabu umri ukishakutupa mkono ndo mnaanza kuwa michepuko kwetu sisi mliotukataaga ..
AsantehPole sana ney..
Nimependa ulivyoongea ukweli toka moyoni!



Naona wanataka kutuandikisha elimu ya watu wazimaMnataka umri wa Wanawake, Kwani mnataka kuwaandikisha shule au mnataka kuwapa vyeti vya kuzaliwa!?
Waacheni , Wanawake waishi wapendavyo.



nimeamua tu kubadiliHahahahh
Mbona umebadilisha avatar mrembo?
wanataka kuolewa ila ndio hivyo wakati ukutaHabari za usiku ladies and gentlemen,
Ni matumaini yangu kuwa mko salama kiafya, kiroho na kimwili. Bila kuzunguka sana ngoja niingie kwenye hoja mara moja.
Ni kwamba kwanini wanawake wengi hampendi umri wenu wa kweli ujulikane?
Inasemekana kwamba mwanamke akikwambia anamiaka 20 inabidi uongeze miaka mitano ili upate umri wake sahihi kwa sababu wanapenda sana kudanganya linapokuja swala la umri au miaka yao.
Ni sababu gani inawafanya kudanganya umri wenu? Kwani umri wenu una nini? Utafikiri umri wenu ni dhahabu aisee.
Acheni hiyo tabia mara moja nyie wanawake wote mnaoendekeza tabia ya kuficha miaka yenu halisi.
Karibuni kwa michango.
Unajua unapotaka kutoa positive reason lazima ujivike uhusika ili mtu akuelewe, ndio maana nikasema kuna mtu na mtu means sio wote, na kwakuwa watu wenyewe tunaishi nao tunajua sababu ni nini ndio maana nikavaa uhusika ila mkuu kashindwa kunielewa akaamua anipe za uso fasterSawa neybright...



anhaa sawa neyHapana aiseeh, ila nimejaribu tu kudadavua ieleweke ni kwasababu gani
Ila hatimae umekuwa mshindiUnajua unapotaka kutoa positive reason lazima ujivike uhusika ili mtu akuelewe, ndio maana nikasema kuna mtu na mtu means sio wote, na kwakuwa watu wenyewe tunaishi nao tunajua sababu ni nini ndio maana nikavaa uhusika ila mkuu kashindwa kunielewa akaamua anipe za uso faster![]()