Wanawake hawapendi miaka yao ijulikane

Wanawake hawapendi miaka yao ijulikane

Mwenzangu ndio nimeulizwa niuweke niuweke umri wangu kwenye notes body watu wanavisa sana aiseeh cha kusikitisha nimejitahid kuwa mkweli nikaweka 36 kumbe haijamtosha mtoa mada ikaniongezea 13 kwa hisani ya mdau
Now nina 49 banah binadam sio wema.
hiyo 13 ni ya msaada wa watu wa marekani.
Wanaume bhna...miaka ya mwanamke ya nini??kwani wanataka kutununulia viatu ama!!
 
Mwenzangu ndio nimeulizwa niuweke niuweke umri wangu kwenye notes body watu wanavisa sana aiseeh cha kusikitisha nimejitahid kuwa mkweli nikaweka 36 kumbe haijamtosha mtoa mada ikaniongezea 13 kwa hisani ya mdau
Now nina 49 banah binadam sio wema.
Hahahahah
 
wanawake wengi wanatak umri wao ubaki palepale hta some men eg. wapo utawaulza mwaka huu atakwambia yupo 22 next 2 years anakutell yupo 22 tna... ila wapo ambao wanakeep hzo information confidential ili ucmjue sana hence ukicctza atakudanganya kama hvo... wengne fashion tu.
Men siyo sana Mkuu.

But women hauongezeki kabisa uko pale pale.
 
Hata mi huwa nashangaa sana, wanawake mwisho ni 25 umri unasimama.....
Nmecheka kusikia Vera sidika ana 23
 
Wengi wanalazimisha kuwa kwenye kundi la 18-24. Wachache 25-26
Hapo wengi wao wanapigana kabisa kugombania range hiyo hata kama ana 30+
 
hiyo 13 ni ya msaada wa watu wa marekani.
Wanaume bhna...miaka ya mwanamke ya nini??kwani wanataka kutununulia viatu ama!!
Ili tujue tunaanzisha urafiki au Mahusiano na mtu mwenye umri fulani.

Maana usitegemee kumtriti binti wa miaka 18 sawa na mwanamke mwenye 25's yrs.

Hivyo kujua umri ni kitu cha msingi sana katika mahusiano.
 
Mkuu, asante ila hadi sasa hivi nasubilia ulipe bill maana nazidi kula kila kinachopita hapa nilipo kwenye sinia la mhudumu
Endelea kula mkuu.mayai ya kuchemsha waambie wakupe kwa wingi,maparachichi bila kusahau juice ya embe ya bariiiiiiid!!!!!niko kwa Bodaboda mkuu...shaka ondoa
 
Mimi uso wangu na mwili kwa urefu fulani... unanishusha kama miaka 15-17 na inanifurahisha hadi nakuwa mkweli wa umri wangu nimuache mtu mataa. Na baraka ninazo tele zingine... Eeeeh najivunia nilivyoumbwa na Mungu wetu.

JF burudani
Mmmh! Sipati picha huko nyuma ulivyofungashiwa... 😵😵😵
 
Ili tujue tunaanzisha urafiki au Mahusiano na mtu mwenye umri fulani.

Maana usitegemee kumtriti binti wa miaka 18 sawa na mwanamke mwenye 25's yrs.

Hivyo kujua umri ni kitu cha msingi sana katika mahusiano.
Wewe mtrit mwanamke vizuri usiangalie umri.kama umempenda umri si kitu mkuu.ruhusu makopa kopa hata kwa kikongwe jombaa
 
Back
Top Bottom