Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,960
- 38,693
Sababu kuu ni chagua chagua nyingi. Wakija shtuka muda umekwisha.
Zamani ndoa ilikuwa unachaguliwa. Yaani unaenda kuolewa hata hujui mumeo anafananaje.
Sasa siku hizi wamejitia madaraka ya kupenda kwanza. madaraka ambayo hayawahusu. Kazi ya kupenda ni ya mwanaume. Wewe ni kutii na kuheshimu tu.
Acha wachine.
Cc Marianah
Zamani ndoa ilikuwa unachaguliwa. Yaani unaenda kuolewa hata hujui mumeo anafananaje.
Sasa siku hizi wamejitia madaraka ya kupenda kwanza. madaraka ambayo hayawahusu. Kazi ya kupenda ni ya mwanaume. Wewe ni kutii na kuheshimu tu.
Acha wachine.
Cc Marianah