Wanawake hawaogopi kabisa UKIMWI?

Somo kuhusu condom nilisha disco. Pekupeku kama kawa.
 
Mkuuu huo ndo ukweli wanawake wengi hawana maamuzi juu ya matumizi ya condom!!
 
si ke tu hata me kibao hawapendi kutumia cd au watatumia mwanzoni baadae inawekwa pembeni na wala hawapimi afya zao
 
Labla unaokutana nao wew ndo hawaulizi na kama hauulizwi ndo ujue unaokutana nao ni magume gume
 

wanaojiuza wapo makini sana.kukumbushia Condomu
 

Mkuu...nimeweka vyote viwili hapo...MMEZOEANA MEANS MMEFAHAMIANA VIZURI NA MMEPIMA....zaidi ya hapo basi haikuwa rizki hiyo...ila utakuwa ulijitahidi kadri ulivyoweza..
 
umegusa palepale gf wangu alikataa katukatu kumbikiri kwa ndom eti siheshimu u2 wake ku2mia plaxtc khaaaaaa
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Kongosho yeleuwiiii
enzi zile nilipokuw misri, nilimla demu mmoja kwa ndomu, wakati tunaendelea nikavua ndomu bila yeye kujua nikamla kavu hadi nikamwaga bila yeye kujua, tatizo amelala chali halafu anasikilizia utamu tu na utamu ukikolea huko chini kwake anakusahau. hadi nilikojoa ndani akaja kujua wakati nimeshamaliza alipoona zinatoka. hivi sijui utamu wao huwa wanaona hadi kisogoni....hahaha
 

Unatupa fundisho ngani huo ujinga ulioufanya,
huoni kwamba ni hatari, kama demu angekuwa ameathirika virus
 
Mmh, sasa kwa nini wanahangaika kupaka karolaiti usoni kujichubua? SI wajisugue na ndomu tu wachubuke?

Umetoa wazo zuri ninahisi wengi washaliona hapa na mie nitawapelekea wale ambao hawapo hapa jukwaani
 
Ukweli usemwe tu hata kama unauma huu ni ukweli usio na shaka
 
Wewe pia una tatizo, sio bure. Nawe huogopi ukimwi? an ukimwi wanakuwa nao wakaka tu kwa ajili ya kuwambukiza wadada?
 
Naunga mkono hoja mia kwa mia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…