Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Ni assumptions za jami masikini ambayo mwanamke hana kitu, au hata akiwa na kitu ni mtu wa kuhudumiwa na mwanamme tu.

Jamii zilizopita umasikini huu wa hali na mali, zinaondokana na fikra hizi.
Of course hayo niliyoyasema yana-apply kwenye jamii hizo hizo za kimaskini, tukiondokana na umaskini tutaongea mengine ila kwasasa nina support wapewe hela.
 
Nina support wapewe hela. Na hii sifikirii kama ni fikra ya kimaskini kwa sababu ya tamaduni zetu. Tukistaarabika vya kutosha labda tutabadilika.
Ni fikra ya kimasikini kwa sababu inaendeleza mfumodume na fikra kwamba mwanamke ni mtu wa kuhudumiwa tu.

Inawabweteza wanawake, ina wa commoditize na kuwa objectify wanawake.

Inawafanya wawe property, wananunuliwa kwa pesa tu.

Inadumaza human potential ya mwanamke.
 
Back
Top Bottom