Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 30,222
- 87,474
Huo ni msemo tu, haimaanishi asipotongozwa mwanamke havai chupi mzeeBinafsi kuna mahitaji ya msingi Binti anatakiwa amalizane nayo sio kumtegemea mwanaume!
Kabisa!Mahitaji ya chakula, kulala vocha inabidi ujipambanie kwanza angalau inavutia
Mimi kodi ntakuomba tu, labda vingine ndionsiwezi hata kukuomba sijui kusuka sijui chqkula ila kodi sjui mtaji nakuomba vizuri, na hata ukininyima silali nje bado..Ikiwa mwanaume sasa karidhia nita clear bill ya chakula ama kodi fresh maake hujamuomba mapenzi yake kwako kaamua kufanya hayo
Ila issue za halo beby nisaidie Kodi 🤔🤔 sjui sijala siku ya pili 🥺aaaah kukatana stimu mamnyong'ode
Hahhah hutaki mazoea🤣Mwanamke akiweza kujitimizia hayo hapo juu hata akiingia kwenye relationship anaingia akiwa anajua si toi tuu sex na sinto abudu mtu juu ya kitu fulani bali ni upendo tuu ama daraja limepita wacha nivuke nalo
Nimekaa sehemu nina fundo mdomoni la lite ooh bint mmoja mambo, mzima, unaendeleaje mm namcheki tuu hata sijameza dada keshaongea maneno na huku anaachia tabasamu kwa mbali ikabidi niangalie friji 😅😅
Usitake kunambia saa 4 hii ushaanza kubugia vitu🙆🏽♀️