Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,765
si bora muuza genge hakuna physical contact? huyu wa rangi atawasugua hadi mapaja. ngoja wafungue vibanda vyaoasi rangi tu
hakuna tabu jamani
-na wauza magenge je?mpemba muuza duka?haus boy??????threat zipo nying ni yeye kuamua n by the way WANAWAKE SI WATOTO WADOGO KUSEMA WANAKURUPUKA TU WANA AKILI KM NYINYI WANAUME NA WANAJUA WANACHOFANYA!!
- u as a man u have to fulfil yr duties then u wl c no 1 can cme across to ya wife ...lakin km wewe mvivu WA KILA KITU basi utakuwa unajishtukia kwa kila kitu ata kakake pia unaweza mfikiria vbaya.........KUWA MWANAUME KAMILI!!!!!!
hayo ndo muendelezo wa madhara yenyewe. walikuwa wakipaka kucha tu sasa wanachezea na vitu vinginekuna mmoja huku mtaani kwetu wanamwita kisigino yeye anapaka rangi huku anakuchezea kisigino nasikia anapendwa kichizi na siku akimpaka m/mke rangi bila kumchezea kisigino mtu anaweza kugoma kulipa
kuna hii biashara mpya ya vijana wapaka rangi kuongeza huduma. Zamani ilikuwa ni kupaka kucha rangi tu. Sasa hivi wanapakata miguu ya wanawake zetu eti wanaiosha kwanza. Safari moja huanzisha nyingine. Hawa vijana watafungua vibanda kama wamasai na yatakayoendelea huko mungu atajua. Kwa ninavyoelewa udhaifu wa wanawake na mahitaji yao ambayo hawatimiziwi ipasavyo, patachimbika. Wanaume anzeni kuwakataza wenza wenu kusuguliwa miguu na hawa vijana kwani hatua itakayofuata hamtaipenda. Hajashindwa kujisugua mwenyewe
wacha watu wale starehe nani kakwambia wamasai awataki raha au hao wapaka rangi hakuna miapaka ya raha atakaeingia lindoni mwenyewe atatoka mwenyewe....
sidhani...kama mtu wa kufanya ufirauni atafanya tuu....kila mtu ana tabia yake na haiba yake.....kama umempenda mpaka rangi umempenda tu hata bila kupaka rangi kwake
asi rangi tu
hakuna tabu jamani
-na wauza magenge je?mpemba muuza duka?haus boy??????threat zipo nying ni yeye kuamua n by the way WANAWAKE SI WATOTO WADOGO KUSEMA WANAKURUPUKA TU WANA AKILI KM NYINYI WANAUME NA WANAJUA WANACHOFANYA!!
kila mtu ana tabia yake na haiba yake.
Naona mmesahau kidogo hii kitu mliyosoma mkiwa form one
(characteristics of living things) ya kwamba "they respond to
stimuli" . Mfano mmea hufuata mwanga, au nikiwa na minya
ndimu na wewe ulo karibu udenda lazima utakutoka. Hii
hutokea kwasababu viumbe hu-respond to stimuli.
Huwezi kusema unamsimamo mkali ukashindana na biology.
Katika mazingira sahihi (right conditions) kama utashikwa
shikwa vizuri (tarrr tiiib) kwa kisingizio cha kazi ya kupakwa
rangi (feeling innocent) you'll lower your guards down.
Utaanza kujiseme kimoyo moyo, "lakini hii ni profession yake"
lakini baada ya muda mwili wako utaanza ku respond, (you
know temp rising, lil tinglin', gettin' w*t). Hapo utaendelea ku
justify kwamba "lakini hakuna anaye niona" n.k.
kinesthetic touching and kinesthetic descriptive words are
very powerful b'cause they affect us on a neurological level
(out of your control).
Usijecheza kabisa na neurology yako hata siku moja. Mfano
watu wakiwa "interrogated" huwa wanakiri kosa bila kujua
kwasababu wanakuwa wamechezewa kiakili (mind fu**ed).
Wanatumia vitu kama modelling, presupposition, rapport,
outcome na feedback kuteka akili ya subject.
Kwahiyo cha muhimu ni kuwa mbali na vishawishi, usije jikuta
asali kidogo inapoteza kitu kikubwa kama kuvunjika ndoa na
baadae kuharibu saikolojia ya watoto ambao hawakuomba
kuzalia katika hiyo familia.
Ni wajibu kama watu wazima wenye busara kuyapina mambo
kabla hatujayafanya.