lkn inakodishwa.."haiuzwi wala haitolewi bure"
duuh! hii statement yako kiboko aisee"haiuzwi wala haitolewi bure"
Basi sawa ila ndo uelewe no money no honey.Kote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
Nyama ya ulimi inahusu.Duuuhh kazi kweli kweli.
Waingereza wana maneno "Direct & indirect". Katika hili "mambo" inauzwa sema "indirect".
Kama ambavyo unalipa VAT
Hivi nyie wavulana wa jamii forum hamnaga wazazi mama au dada au shangaziKote ni kuuza. Kuhonga ni neno mbadala. Ndo maana hata kuhonga maofisini kiuhalisia ni 'kununua haki'. Kiufupi wanawake wote wanajiuza ila wanatofautiana mbinu na uuzaji wao
Kuwa na mama au dada hakubadilishi ukweli dada na nyie mnaposema wanaume wote matapeli haimaanishi hamna baba na kaka zetu. Tulia sindani ikuingie muuzaji weweHivi nyie wavulana wa jamii forum hamnaga wazazi mama au dada au shangazi
Mada nyingine sio lazima uanzishe ni kuzalilisha tu maana we pia umezaliwa na mwanamke na ukakuzwa naye
Mambo mengine mezea sababu mkapewa koromeo sio kila kitu unaandika