Kama zinakaa kwenye nywele poleni, ila nimekwambia awali kama ni mkeo mwambie lkn hutawakataza wanawake wote ni nje ya utawala wako.
mimi kama mchungaji ngoja sasa nilimalize hilo.
kitu cha mcngi, na ambacho kinaletaga shida na kuwa kesi kuwa nyng kwetu wachungaji ni: ni mwanamke kudai kupewa hela ya wig kiasi kwmb asipopewa ndani ugomvi,ndo hapiki, hafui,chumbn hakuna k2, hamuongei,nk.
lkn na ww isiwe kama ulimckia yule fake pastor ambapo alimwombea mtu mwenye pepo, alafu lile pepo likasema wanapendaga sn kukaa kwny mawig.
kwa iyo ni suala tu la kukaa mke na mume na kukubaliana.
By Mchungaji 0757856336
Kwani wewe unavaaga mpk ukatae hizo sababu?
unajua kuna watu wanatibiwa kansa nywele zinaisha wanavaa wigs...?
Wewe unawafuata wa nini kama unaogopa pumu (asthma) ? Unanusa nusa za nini?
Tafuta team natural wako basi unatulia.
We ndo umepaniki, kuja kulalamikia mawigi ya mwanamke, kama ulikuwa hujui sio mara zote wanawake wanajiremba kwa ajili ya wanaume hiyo ni psychology ya wanawake... They are competitive among themselves.
Hata ningekuwa nimelivaa wewe halikuhusu, hata liwe la kijani teh teh
Wewe nani uwape amri kutovaa wigi? Labda uongee na rais atangaze NO Wigs, nje ya hapo unajipa presha bure kwa mambo yasiyokuhusu. Ila kwa habari ya mkeo muombe asiweke hizo nywele
Ukishauliza sababu za kuzivaa na ukapata majibu yake inakuwa ni rahisi kuconclude kuwa kuna kutokujitambua kwa pande zote zinazohusika
sema huna hela ya kumpa mkeo akanunue alafu una kitambi
TOA KWANZA HUO MTAMBI NDO TUONGEE KUHUSU MAWIG
We nae nimegundua hata hujitambui basi, ila umejificha nyuma ya hii compaign basi tu yani.
Haya kampeni njema ukifanikiwa urudishe mrejesho nifunge duka.
We nae nimegundua hata hujitambui basi, ila umejificha nyuma ya hii compaign basi tu yani.
Haya kampeni njema ukifanikiwa urudishe mrejesho nifunge duka.
Aiseehhh mimi huwa nakerwa zaidi nahisi, yani mimi na mama watoto wangu ndo ugomvi kila kukicha,namkataza lakin wapi,unakuta wigi la rangi sijuwi kijani, sijuwi pink yani hakuna relation na uhalisia wa nywele za binadamu, siyapendi mawigi na sipendi kumuona alady amevaa
Haha tulia Atoto. Hii vita ni kubwa sana. Tukimaliza hapa, tunaelekea kwenye filters na make up. Mngetuacha na vitambi vyetu, tusingefika huku.
Wewe ndo hujitambui maana umeshindwa kumtambua anayejitambua.
Muitikio unauona mwenyewe, watu wengi wanashiriki positively kwenye hii campaign, mda si mrefu biashara yako itaanza kudoda.