Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,514
- 94,655
Kucha sawaUtengeneza hata kucha
Kucha sawaUtengeneza hata kucha
Yani j2 lazima upendeze bwana...jioni lazima twende tukakae sehem hata ukiniwekea mguu kwny paja naangalia nasema kweli umependeza mpenziKucha sawa
That's so sweet..thank uuuYani j2 lazima upendeze bwana...jioni lazima twende tukakae sehem hata ukiniwekea mguu kwny paja naangalia nasema kweli umependeza mpenzi
Ushauri muhimu huu, washaurike tu la sivyo tutakuwa tunachukua wanyoa upara tu sahv
Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio maana mm nlikwambia mwanamke wangu akiibiwa basi mwnyw kapenda ila sio mm nlishindwa majukumu yangu....kuna watu wengine tu wanakuwaga hawaeleweki nn wataka kwny maishaThat's so sweet..thank uuu
Bora wewe umekubali, ila wenzio wanapita kimya kimya tu.Sawa
Sio member mieUmejikausha kau...!
Korrupt people like Korrupt Leader
Ha ha ha ha,
HahaaaaaWewe nani kakutuma ukanuse vichwa vya watu?
Au kama ni mkeo basi pole yako,
Umesema kweliUmesema kweli kabisa mkuu ila ni kwa baadhi ya wanawake na sio wote. Na ukikutana na hao baadhi unaweza kutapika mana unakuwa uvundo kweli.