Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,121
- 122,549
Rafiki ni ngumu ujue kumpa ushauri nasaha mana ninaokutana nao walio wengi ni kwenye usafiri wa umma na unakuta hata hatufahamiani.Na hata hao baadhi kuna mambo yanachangia wawe hivyo, mkikutana nao mnawasaidia tu hata kwa ushauri na saha..🙄

Hivyo naishia tu kuwaangalia na kushangaa kulikoni.