Handsome man
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 880
- 958
Ndo muwe mnashauriana sasa, jinsi ya kutunzaInategema huyo uliyekutana nae anakaa na hizo nywele kwa muda gani ila pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo muwe mnashauriana sasa, jinsi ya kutunzaInategema huyo uliyekutana nae anakaa na hizo nywele kwa muda gani ila pole sana
Ushauri muhimu huu, washaurike tu la sivyo tutakuwa tunachukua wanyoa upara tu sahvNiende kwenye mada ni hiv hawa dada zetu wanao vaa mawigi na wanao suka ebhana ni wa chafu balaa yani ukinusa mawigi au misuko yao yananuka balaa sababu hawanawi maji kichwani wanaishia shingoni tu kwahyo dada zangu badilikeni ogeni mwili mzima mnatuboa bhana
Huo ni usafi wa mtu mwenyewe kama anajipenda atakuwa makini na hataweza kukaa muda mrefu na nywele
Na nyie badilikeni mnakojoa hadharani km mbuzi , bila kuchamba mnanukaa Pumb*******Niende kwenye mada ni hiv hawa dada zetu wanao vaa mawigi na wanao suka ebhana ni wa chafu balaa yani ukinusa mawigi au misuko yao yananuka balaa sababu hawanawi maji kichwani wanaishia shingoni tu kwahyo dada zangu badilikeni ogeni mwili mzima mnatuboa bhana
Bashite anaendeleaje mkuu?Ha ha haaaa
Ni kama vile uliyenaye hapo kakukosesha usingizi kwa harufu ilivyosambaaa
Wavaa mawigi nimewajuaMpka unafika kichwani kwa mpenzi wako kunusa inakuwaje jaman dooh pole mkuu ndio uwe unampa hela za kuosha wig usikute hata mia humpi afanye nini sasa dada wa watu
Mkuu nkiona hili device lako huwa nasikia raha sanaBashite anaendeleaje mkuu?
Tombatomba idevice Model TH 45
Hahah mkuu itabd ui import kutoka hapo malaysia mkuu.Mkuu nkiona hili device lako huwa nasikia raha sana
Hii lazima nichukue model mpya kbsHahah mkuu itabd ui import kutoka hapo malaysia mkuu.
Tombatomba idevice Model TH 45
Hahah hamna noma chief.Hii lazima nichukue model mpya kbs
Umesema kweli kabisa mkuu ila ni kwa baadhi ya wanawake na sio wote. Na ukikutana na hao baadhi unaweza kutapika mana unakuwa uvundo kweli.