Wanavyokunjaga sura, huwezi amini wanapelekeshwa na wajinga kama CCM. Wanapigishwa Mistari kupiga kura wakati Uchaguzi ulishaamuliwa.

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869

Wanavyokunjaga sura na kujifanya wababe na wajuzi huwezi amini wajinga wajinga CCM wanawapelekesha kama mazuzu. Huwezi amini CCM wanawaona kama matoy tu yasiyo na chochote wala lolote.

Yaaani hawa nao Oktoba wanapigishwa mistari kutiki wakati CCM, Tume na NIDA walishaamua kura ziweje na ushindi kwa CCM uweje

Acha wenye akili tupambane na No Reforms No Elections✊️✌️
 
Hawa huwa hawahusiki na mambo hayo aisee unawakosea heshima.
 
Mwaka huu utawehuka, kwasabu tumeshasema
OCTOBER TUNATIKI ✅
 
Wanatii mamlaka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…