Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Subscribed, liked and commented.
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Ila JPM hafufuki ndio ukweli. mchungu ambao Sukuma Gang hamtaki kukubali.
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Andiko maridhawa, Ubarikiwe
 
Haijalishi ulihuzunika au ulifurahi, UTAKUFA TU

Haijalishi kifo chako kitakuwa mapema au baadaye, hicho si kipimo cha furaha au huzuni yako dhidi ya kifo cha mwenzako

Haijalishi anayekufa sasa alifurahia au alihuzunishwa na kifo cha Magu, kati yetu hatujui alipaswa kufa lini

Mwisho ni muhimu kujua; tupo wajinga wengi tunafikiria ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu, bas hupaswi kufa ukiwa madarakani... Huu ni ujinga wa tulio wengi wa wa-Tz
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Hata huyo unaemtetea kua alisemwa vby nae pia alikua mtu wa visasi, hivyo hakuna mwenye guts za kumsema mwingine!!
 
Haijalishi ulihuzunika au ulifurahi, UTAKUFA TU

Haijalishi kifo chako kitakuwa mapema au baadaye, hicho si kipimo cha furaha au huzuni yako dhidi ya kifo cha mwenzako

Haijalishi anayekufa sasa alifurahia au alihuzunishwa na kifo cha Magu, kati yetu hatujui alipaswa kufa lini

Mwisho ni muhimu kujua; tupo wajinga wengi tunafikiria ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu, bas hupaswi kufa ukiwa madarakani... Huu ni ujinga wa tulio wengi wa wa-Tz
Umenena vyema, Tanzania Kuna watu Wana vichwa vya mzigo kwa shingo. Na huyo mleta mada ajue siyo Kila kimfurahishacho au kumchukiza kitakuwa hivyo kwa wote.
 
... ni furaha mmoja anapoondoka kwa ajili ya wengi kupona mzigo wa mateso! Watu waliumia; watu waliteseka. Apumzike kwa amani BM.
 
Back
Top Bottom