Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Wewe unaanza vibaya na kuhamasisha matusi!
Hivi kusimamisha nchi kwenye mstari ni:
Kuiba pesa za raia wake benk?
Kuua wale ambao haelewani nao?
Kufanya uchafuzi badala ya uchaguzi?
Kuiba trillion 1.5 hazina na kumfukuza kazi CAG kinyume cha sheria?
Kununua madege cash na kupiga chenji?
Kudanganya plea bargain na kuiba fidia na kwenda kuzificha china?
Lilikuwa jambazi na uaji!
HALISAFISHIKI HATA WAKIFA WATU WEMA 100! RIP Bernardo and continue to ROT in HELL Magu!
Bado hamjasema,mtasema tu!
Mbona Mzee Makamba na Kinana hawaonekani Msibani kwa Kachero,au msiba hauwahusu.Tulieni dawa iwaingie!
 
Siku zijazo zina Tisha zaidi kuliko leo na kesho.
Mkuu ile mada yako nzito juu ya Uchunguzi pindi Rais anapofariki madarakani,huwa naipitia kila siku.Watu wanatamani maneno waliyoongea yarudi mdomoni mwao lakini wapi,too late!
Nimekuelewa sana!
 
Nani huyo aliyetaka kuirudisha nchi kwenye mstari kwa kuua kila anayempinga? Nchi hairudishwi kwenye mstari kishamba vile. Ona mama snavyotuheshisha nchini mwetu ambapo kwa Sasa kila mtu ana tabasmu hakuna tena kutekana na kuuana. Siku nyingine uwe na akili basi
Taja majina ya waliouwawa na Magufuli!
Hii propaganda yenu ya kijizi tulikwishaikataa!
Majizi,Vueti feki,wabadhirifu na wasakatonge wa nchi hii mmepigwa na kitu kizito.

Hata ...
Membe hatasimama tena!
 
Taja majina ya waliouwawa na Magufuli!
Hii propaganda yenu ya kijizi tulikwishaikataa!
Majizi,Vueti feki,wabadhirifu na wasakatonge wa nchi hii mmepigwa na kitu kizito.

Hata ...
Membe hatasimama tena!
Azori gwanda, Ben saanane nk
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Mkuu Voicer kwa vile wewe na wenzako mmeamua kuendeleza mashindano batili ya kimafia kuhusu vifo na misiba ya mahasimu, basi nakupa kigezo muhimu katika falsafa muflis ya mafiosi: Yule anayekuwepo na/au kuhudhuria na/au kusimamia msiba wa kifo cha hasimu wake ndiye mshindi. He who survives his adversary is the victor.

Haya basi endelezeni mipasho batili ya misiba kwa faida ya nafsi zenu duni.
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Mkuu kwahiyo shangwe inaendelea kwa wanyonge?
 
Sukuma Gang mnapiga makelele tu kama vyura,bwana wenu anaendelea kubanikwa huko.
 
Huyo marehemu wa mleta mada alishawahi kumdhihaki mtu kwa kupiga pushup jukwaani
 
Na Mungu ataendelea kuongeza msafara sawia kabisaaa!

Tunajua Magufuli harudi tena kama ilivyo kwa Membe nae hatutamuona tena.

Ila legacy itakayobakia ni ya JPM pekee!
Yaani nchi hii legacy ni ya JPM pekee? Vipi kuhusu Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete?
 
Wewe unaanza vibaya na kuhamasisha matusi!
Hivi kusimamisha nchi kwenye mstari ni:
Kuiba pesa za raia wake benk?
Kuua wale ambao haelewani nao?
Kufanya uchafuzi badala ya uchaguzi?
Kuiba trillion 1.5 hazina na kumfukuza kazi CAG kinyume cha sheria?
Kununua madege cash na kupiga chenji?
Kudanganya plea bargain na kuiba fidia na kwenda kuzificha china?
Lilikuwa jambazi na uaji!
HALISAFISHIKI HATA WAKIFA WATU WEMA 100! RIP Bernardo and continue to ROT in HELL Magu!
Siku unapata akili na ndo siku ya kufa
 
Tuungane kudai KATIBA mpya Ili Tuimarishe UMOJA wa kitaifa.

Bring back our WARIOBA 💪💪💪
 
Mkuu Voicer kwa vile wewe na wenzako mmeamua kuendeleza mashindano batili ya kimafia kuhusu vifo na misiba ya mahasimu, basi nakupa kigezo muhimu katika falsafa muflis ya mafiosi: Yule anayekuwepo na/au kuhudhuria na/au kusimamia msiba wa kifo cha hasimu wake ndiye mshindi. He who survives his adversary is the victor.

Haya basi endelezeni mipasho batili ya misiba kwa faida ya nafsi zenu duni.
Kama mlivyo na mnavyoendeleza chuki yenu dhidi ya yule mliyeshirikiana kumdhuru na kisha kuendelea kumdhihaki akiwa kaburini mpaka leo hii.

Na sisi tunaanzia hapohapo!
 
Haijalishi ulihuzunika au ulifurahi, UTAKUFA TU

Haijalishi kifo chako kitakuwa mapema au baadaye, hicho si kipimo cha furaha au huzuni yako dhidi ya kifo cha mwenzako

Haijalishi anayekufa sasa alifurahia au alihuzunishwa na kifo cha Magu, kati yetu hatujui alipaswa kufa lini

Mwisho ni muhimu kujua; tupo wajinga wengi tunafikiria ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu, bas hupaswi kufa ukiwa madarakani... Huu ni ujinga wa tulio wengi wa wa-Tz
Walioshangilia ndiyo walikosea sana
 
Back
Top Bottom