Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Wanavisasi Mmepigwa Pabaya!

Toa huu uchafu acha hii movies iendelee
Fact haibadiliki. Mnaopenda kushindania vifo jueni kuwa yule anayeshuhudia mazishi ya hasimu wake ndiye mshindi. Hutaki, achana na huu ujinga.
 
Unarudisha nchi kwenye mstari kwa kutoheshimu sheria za nchi. Au kuteka na kuumiza wasiokusujudia ndio urejeshaji wenyewe?
Kwa hiyo vyeti feki walikuwa wasiosujudu?

Doctor Ulimboka aling'olewa meno kwa bisibisi na Koleo,Kibanda aliitolewa jicho,Kubenea akamwagiwa Tindikali,Maji ya Chai alichinjwa kada wa Chadema,Peter mwenyekiti wa kile chama cha mgombea wa upinzani aliuwawa nyumbani kwake!

Je!
Kikwete alikuwa sio Rais?????

Kwendeni zenu na ushamba wa siasa,mmekaa mk8dhani mlizaliwa kuishi kwa shot cuts bila jasho.

Akili za upinzani nyungi ziko kwenye yale Madera ya "Bawachaa"
Safari hii Mungu anatembelea upande huo na kigogo wa visasi amekuwa mfano!
 
Pale mtaani kwetu "Kilimani" Dom mnamo mwaka 1986, aliuwawa jambazi moja maarufu kama "tembo" kwa kugongwa na gari.

Vijana kwa watoto na wazee wote kwa umoja wetu tulisema "asante Mungu".

Hii haikuwa na maana kuwa wote hatukuelewa thamani ya uhai, bali ilionyesha kama binadamu tuliochoshwa na uovu wa huyo binadamu mwenzetu aliyejulikana kama temb, tulifurahia kuwa na amani kwa kutokuwepo kwake.

Iwe isiwe,usheherehekee au uhuzunike, kifo ni chetu sote.
Usiwe na wasiwasi pambana uwekwe kwenye kundi la wazuri hawafi kifo hakiwahusu nyie nenda koogwe
 
Mnataka kumuua nani tena
Sass kabla hamjamuua mtakuwa mmepotea
Mungu ndie yuko kazini,atawafyeka mmoja mmoja mpaka Colum ya waliohusika itakapotimia.
Sio lazima iwe leo wala kesho,ila ni jambo balo litatimizwa na Mwenyezi Mungu Mwenyewe.
 
Hakika Mungu hadhihakiwi!
Mungu sio Athumani!

Ni Kama Vile Mungu ameanza kuonyesha makasiriko yake dhidi ya dhihaka zilizofanywa kwa mtu aliewahi kutaka kuirudisha nchi yetu kwenye msitari wake.

Ni Kama Vile sasa ni zamu mpya kuonyeshwa ufundi wa Mungu!

Ni Kama Vile bado Mungu anafuatilia na kuamua ugomvi ndani ya nchi hii.

Safari hii naona wanamtandao wamepigwa pazito,tumeona sasa na wao wakitoa machozi ya kweli.

Tuheshimiane hapa Duniani kwa sababu hakuna binadamu aliye na mkataba na Mungu.kuna watu nchi hii wanavimbewa hadi kujisahau kwamba nao kuna siku watakuwa maiti.

Huyu alisema
"Magufuli hatasimama tena"

Na leo yeye pia amelala milele!

Lemutuz nae alisimanga kupitia andiko lake kwa Makonda,leo nae njia ile ile....

Kuna walamba asali wawili wako na tiketi mkononi mmoja yuko Lushoto na Mwingine makamu wa mwenye stool CCM hata Misibani hawezi kuhudhuria.....

Walimtukana Magufuli na kumuita mshamba,kisha siku alipofariki wao wakafanya sherehe na kukifuru mbele ya mkutano mkuu wa CCM....

Kwamba!

"Wazuri hawafi,ila sasa wote tunalamba asali"

Acheni "Mungu" aitwe "Mungu"
Kwa hiyo wakifa hawa wengine Magufuli atafufuka? Au na wewe hutakufa?

Magufuli is gone mazima, wacha kuishi kwenye kivuli cha mfu
 
Kwa hiyo vyeti feki walikuwa wasiosujudu?

Doctor Ulimboka aling'olewa meno kwa bisibisi na Koleo,Kibanda aliitolewa jicho,Kubenea akamwagiwa Tindikali,Maji ya Chai alichinjwa kada wa Chadema,Peter mwenyekiti wa kile chama cha mgombea wa upinzani aliuwawa nyumbani kwake!

Je!
Kikwete alikuwa sio Rais?????

Kwendeni zenu na ushamba wa siasa,mmekaa mk8dhani mlizaliwa kuishi kwa shot cuts bila jasho.

Akili za upinzani nyungi ziko kwenye yale Madera ya "Bawachaa"
Safari hii Mungu anatembelea upande huo na kigogo wa visasi amekuwa mfano!
Alafu wanasahau hata kifo Cha kikatili Cha mawazo mbumbumbu kweli Hawa watu
 
Kwa hiyo vyeti feki walikuwa wasiosujudu?

Doctor Ulimboka aling'olewa meno kwa bisibisi na Koleo,Kibanda aliitolewa jicho,Kubenea akamwagiwa Tindikali,Maji ya Chai alichinjwa kada wa Chadema,Peter mwenyekiti wa kile chama cha mgombea wa upinzani aliuwawa nyumbani kwake!

Je!
Kikwete alikuwa sio Rais?????

Kwendeni zenu na ushamba wa siasa,mmekaa mk8dhani mlizaliwa kuishi kwa shot cuts bila jasho.

Akili za upinzani nyungi ziko kwenye yale Madera ya "Bawachaa"
Safari hii Mungu anatembelea upande huo na kigogo wa visasi amekuwa mfano!
Hasira ya nini, mbona huu mchezo hautaki hasira. Naona umeongea maneno mengi kwa jazba kali. Ni hivi, dhalimu hakustahili kuwe rais wa nchi hii, hutaki jinyonge.
 
Back
Top Bottom