Wanaume weusi vs wanaume weupe

Wanaume weusi vs wanaume weupe

Kweli kabisa hata mm. Ingawa zamani nilikuwa nakutana na weupe ila sikuwaiga kuwapenda sasa huyu black american kiboko yao.
 
Salaam..
Nilipokuwa mdogo.kabla sijawa mkubwa wa kujitambua nilikuwa napenda sana wanaume weupe.
Na akili za utoto tena, Nikawa nasema kwa nini baba hajawa mweupe,,
Pengine nami ningekuwa mweupe.

Tokea nimefikisha miaka kumi na mitano na kuendelea mpaka Leo.
Sijawahi kuwapenda wanaume weupe hata kidogo.
Sio kwa ubaya. Ila sina mapenzi na rangi nyeupe kabisa.
Angalau mwanaume awe na rangi ya Maji ya kunde,
Mda mwingine mpaka najiuliza vipi hawa wanawake wanawapenda wazungu??,
Ikiwa Mimi mwanaume akiwa mweupe haijalishi ni mwafrika au Mzungu si wapendi kivileee..sio kimapenzi hata kwa urafiki wa kawaida tu...

vipi wewe unavutiwa na mweupe au mweusi.
UBAGUZI WA RANGI HUO,MUONE KWANZA
 
Wanaume wengi wanawapenda wanawake weupe na wanawake wengi tunapenda wanaume weusi japo mi sio mbaguzi wa rangi sipendi tu weupe sana kama wazungu
 
I love black men jamani mimi uwiiiiih. . Yani mwanaume akiwa mweupe naona kama ana mapungufu
 
si kila unachopenda weww na wenzako wanapenda.... kila mtu ana taste yake, wenzako pia wanajiuliza swali kama ulivouliza wew cjui utawajibu vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom