mswati wa tz
Member
- Nov 5, 2014
- 34
- 16
Binafsi naona kama wewe ni mhanga wa kuwahi kutoka na mtu mweupe akakuzingua, ila wapo wenye kujali na kupenda kweli kingine ni kutokujiamini kwa wanawake wengi hasa wanapokuwa na watu wa aina hiyo, wanahisi hawatodum nao au wanachipuka kwa namna mmoja au nyingine..sawa na wanaume wengi wanapokuwa na woga wa kuoa wanawake warembo kwa kuhofia kutokuwa na uaminifu ndani ya ndoa..lakini ukweli utabaki pale pale kuringa au kuto kuringa ni tabia ya mtu, sema wachache wanaweza kuathiri mtazamo wetu..

