Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Na mwanaume utakuwaje mweupe bana! Ili iwe nini?
Jf bwana!
Na mwanaume utakuwaje mweupe bana! Ili iwe nini?
Mweupe mkigegedana anakuwa mwekundu hadi anatia kichefuchefu utadhani anataka kufa,
hahahaHalafu watu wanapenda mambo ya rangi ya ngozi. Kama juzi kuna mtu kaanzisha uzi wa kukandia wanawake weupe na warefu![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi mwanaume mweupe hanisisimui kabisa
una kaka mweusiOooh kumbe!!
Basi tunakupa na nyongeza, mchukue tu.Daby mm simtaki ata bure abaki na husna wake
hapana kwakweli baki tu na kaka yako simtakiBasi tunakupa na nyongeza, mchukue tu.
husna muba pekee ndio kiboko yake.hapana kwakweli baki tu na kaka yako simtaki
HhhhhaaaaaWe hukomi tu kuwasifia wanaume wengine?
Ngoja aje hapa....
teh husna ndio kiboko yakehusna muba pekee ndio kiboko yake.
Chizi haponi Dada anapata tuu nafuu.![]()
![]()
![]()
![]()
Dogo haujaacha tu!!
Hahaaaa! Haya bwana.Chizi haponi Dada anapata tuu nafuu.
Ha ha ha
We kama mimi..sifagilii wanawake wa kizungu. Hata mwanamke wa kizungu avae bikini haleti msisimuko kama wa kiafrika. Huwa sijui kwanini maana wa kiafrila hata akiwa na miniskirt tu anapagawisha.Inaweza kuwa kweli dada
Manaan mm binafsi madem wakizungu hata aweje na avaaje sisimki kama dem wa kiafrica atakavyo nisisimua,
Yaani sina mzuka na wazungu kwenye ngono.
ndio wewe huyo kwenye profile picture?Navutiwa na weusi. Sio lazima niwe mgonjwa wa mipingo