Wanaume weusi,kiugonjwa kinachonitesa

Wanaume weusi,kiugonjwa kinachonitesa

Mara nyingi hutokea.

Binti mweupe anavutiwa na kijana mweusi.
Kijana mweusi anavutiwa na binti mweupe
Binti mweusi anavutiwa na kijana mweupe
Kijana mweupe anavutiwa na binti mweusi
Unakuwa kama vile unaikinai rangi yako na kutaka rangi unayoimisi

Mtoa mada anaonekana ni binti mweupe.

Je wewe ni rangi gani na unavutiwa na rangi gani ?


Aiseeeeh,
Ulivyoandika , nasoma hadi nahisi Kichwa kinazungukazuka.

Any way, mi ni Mwanume, black kiasi navutiwa na chocolate. (Ila tayari ninaye kutoka Tanga Line Raha kwa hiyo. sina haja tena ya mwingine tuelewane wajeni)
 
Wewe ulowe chupi kwa kumuona tuu?? Utakua na matatizo

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Kwi kwi kwi kwani hujawahi kuona mwanamke akisikia sauti yako hata kwenye simu analowa. Papuchi inakuwa yamoto indunda kabisa. Wanawake tuwaheshimu, ni maninja sana.
 
Heshima kwenu wakuu
Kama nilivyotangulia kusema najikuta mtumwa wa wanaume weusi nikimaanisha mwanaume mswahili lakini mwenye ile rangi ya weusi

Alitokea mwaume mmoja akanipenda sana kipind cha nyuma lakini alikuwa mweupe me sikumpenda hata kidogo

na huwa ikitokea hata kama nimekaa sehemu akapita mwanaume mweusi mrefu kidogo lazima nitamwangalia tu, ofisini pia vivyo vivyo nitamwangalia kwa umakini na nitamuhudumia kwa upendo kabisa tofauti na mwanaume mweupe
Hawa watu huwa wananivutia sana for sule
heshima kwenu wote wanaume weusi
Ofisini kwako ni baa gani?
 
5156535.jpg
images



images
 
Mimi ndo niko hivi mblack mpaka mbu awashe tochi ilikuniuma.
images
 
Back
Top Bottom