Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,720
- 2,393
Binti kiziwi kama nakujua hivii.....Mno! Kipindi bado sijaolewa kuna mbunge mmoja tulikuwa tunafanya nae kazi fulani fulani, alikuwa na marafiki wengi sana wakizungu, mmoja akatokea kunidondokea, na mwisho akataka kunioa kabisa anipeleke kwa Bushi enzi zile. Japo ilikuwa fursa nzuri sana kimaisha ila niliamua tu inipite, kwasababu nina uhakika 100% ile ndoa ingenitesa sana kwenye suala zima la kitandani, ningekua mchepukaji sugu kwasababu mi nikiwa na mtu mweupe sipati hata zile hisia za uongo na kweli.
Marafiki walinisema sana kwamba nachezea bahati lakini mwenyewe nilijua ambacho kingenipata.
Ila wanaume weupe msione tunawabagua, kuna wengine wanawapenda sana.
Ila hata mm napenda mwanamke rangi ya chocolate...hatari sana

aisee