Wanaume weusi,kiugonjwa kinachonitesa

Wanaume weusi,kiugonjwa kinachonitesa

Mara nyingi hutokea.

Binti mweupe anavutiwa na kijana mweusi.
Kijana mweusi anavutiwa na binti mweupe
Binti mweusi anavutiwa na kijana mweupe
Kijana mweupe anavutiwa na binti mweusi
Unakuwa kama vile unaikinai rangi yako na kutaka rangi unayoimisi

Mtoa mada anaonekana ni binti mweupe.

Je wewe ni rangi gani na unavutiwa na rangi gani ?
 
kumbe tunapendwa,alafu unakuta wanaume weusi hatupendi wanawake weupe,hapo ngoma droo

Mabikwu,,,

Samahani, aiseeeeeh!

Hiyo avatar , kwenye profile yako eti ambayo RC ameegemea ndiyo wewe!?
 
Mwanaune awe mweusi alafu mrefu na mwili wa kiume aisee unaweza jikuta unalowa pichu bila kutarajia.
Wewe ulowe chupi kwa kumuona tuu?? Utakua na matatizo

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom