Mikasi ndo main agenda. Ila kama ujuavyo kwenye mkutano kunakuwa na mengineyo pia.kwahyo mnakua mmeshakubaliana kabisa akija n mikasi tu
Aiseeatafanywa mafanyo ili yamkute mafiko hahahahahaha
Hahahhh huyo ni mwehuHahaha....
hahahhhh mm sitaki jamaanTeh....
Zianzishwe ngapi. Usikute ni hii
et ww apo BonnyWa kutuma hyo hela nan kwa mfano
WANATUTUMIA SANA HAHAHA WEE TU NA ROHO YAKO TENA ZA TAXI NA SISI TUNAPANDA BODABODA


Mkuu kama unafika eneo la tukio mimi sina shida na wewe. Nawasema wale ambao wanalamba mpunga lkn hawafiki eneo la tukioWANATUTUMIA SANA HAHAHA WEE TU NA ROHO YAKO TENA ZA TAXI NA SISI TUNAPANDA BODABODA
Ucjali ntakutumia maana nakuhusudu sanakwa pm tu
Kumbe ndio zako hivi bonny unamjua unamskia anajijua mwenyweNi wajanja hawa unashangaa scania hadi mombasa aunaambiwa elfu 25 kumbe 2000 tu hiyo nyingine wanagawa na dereva toyo
me mbona hayajawai nitokea au sbbu sipo uko fb na mm nataka kutumiwa nauli naishi kigomaMikasi ndo main agenda. Ila kama ujuavyo kwenye mkutano kunakuwa na mengineyo pia.
Ndo nawatahadharisha wadau mkuu.Wajinga ndio waliwao. Hakuna namna acha mlizwe![]()
sawa utume nyingi nyingiUcjali ntakutumia maana nakuhusudu sana
Ha ha ha ha naona umemis zile vurugu enheeet ww apo Bonny