Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Chukua wa mtaani kwako tu kuepeuka kutapeliwaNdo nawatahadharisha wadau mkuu.


Chukua wa mtaani kwako tu kuepeuka kutapeliwaNdo nawatahadharisha wadau mkuu.


Ha ha ha ha watu wamekata tashriff kabisa ukapotelea ubungo na piemu ukafunga aisee mama uko vzureb uko mm sijawahi hayo mambo
Hahahaaaa mkuu si unajua tena kichwa cha chini kikiwa kazini!!? Cha juu kinasiziunaanzaje kutuma pesa tu akope aje akifika tutalipa
Ha ha ha ha watu wamekata tashriff kabisa ukapotelea ubungo na piemu ukafunga aisee mama uko vzur




hahahhh sanaHa ha ha ha naona umemis zile vurugu enhee
Ha ha ha ha amejaa vumbi mwili mzima unauliza hyo tax ilikua haina AC shuhula mvua inyesheNi wajanja hawa unashangaa scania hadi mombasa aunaambiwa elfu 25 kumbe 2000 tu hiyo nyingine wanagawa na dereva toyo
Ha ha ha ha hamm sijui lkn amenisingizia
Mmh tukio ganiHa ha ha uzur ananijua nshamfanyia tukio moja atakusimulia tu
poa natuma nauri ya ndegeme mbona hayajawai nitokea au sbbu sipo uko fb na mm nataka kutumiwa nauli naishi kigoma
Duuuh nliwah kudanganywa sitaki kurudia kosa tenaHahahaaaa mkuu si unajua tena kichwa cha chini kikiwa kazini!!? Cha juu kinasizi
Bonny mm huyo hivi naanzaje kula hela ya watu mtu simjui nilivyo muoga mmHa ha ha ha watu wamekata tashriff kabisa ukapotelea ubungo na piemu ukafunga aisee mama uko vzur
HATA LEO KUNA PUNGA LIMENITUMIA NAULI YA KWENDA MORO NIMEMTAPELI NTAFIKA IJUMAA JION WAKATI IJUMAA NINA ODA ZA WATEJA ZANGU HUMU KWENYE JIJI LA BASHITE............. ZA VITENGE NA SNICKERS HAHAHA NIMEONGEZEA KWENYE MTAJI NIMEPATA PEA MBILI AMBAZO NITAPATA FAIDA YA 20 ELFU ............. SIPATI PICHA ATAVYOHANGAIKA KUNIPIGIA SIMU AMBAYO NI YA OFISI AMBAZO KUANZIA IJUMAA JIONI HUWA TUNAZIZIMA 😀😀😀😀Mkuu kama unafika eneo la tukio mimi sina shida na wewe. Nawasema wale ambao wanalamba mpunga lkn hawafiki eneo la tukio
Ha ha ha ha umesahau enhee? Ngoja nkupige tena ukumbukeMmh tukio gani
hahahhah unajua ameamini ulivyoongea
HahahahhaHa ha ha ha amejaa vumbi mwili mzima unauliza hyo tax ilikua haina AC shuhula mvua inyeshe
NAURI-NAULIKama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".
Ni hayo tu.
nimekumbuka sijui ndio lile la juiceHa ha ha ha umesahau enhee? Ngoja nkupige tena ukumbuke