dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
- Thread starter
- #61
Hahahaaaa pole mkuuMm week hii tu kala 4000 yng pumbafuuuu zake
Hahahaaaa pole mkuuMm week hii tu kala 4000 yng pumbafuuuu zake
Nikutumie kw njia gani mamakeTuma tu
Juzi jumapiliWajinga ndio waliwao. Mara ya mwisho kutuma pesa kwa maza ilikuwa lini??
Pole mkuu. We uchune tu ndo uanaume huo.Dah kumbe tuliopigwa tuko wengi. Mwaka jana december nililiwa hela ya ticket ya fast jet toka Arusha kuja Dar, mpaka leo hajafika Dar na simu yake haipatikani tena japo namfahamu vizuri mpaka anapofanyia kazi. Nimeuchuna japo naumia ndani kwa ndani
Khaaaa Daby mm nimefunga pm kwa ajili ya nauli ya watuNamjua huyo . Alitumiwa nauli kuzima msala amefunga pm hadi na leo
humu si ningeanzishiwa thread
ila ww unaweza ujueHa ha ha ha hata nauli silipi namtuma boda boda wangu akamfate asilete uchiz
atafanywa mafanyo ili yamkute mafiko hahahahahahahahahhh akija unataka kumfanya nn
hahahahhhIshia zako mie sio kunguru
Teh....Khaaaa Daby mm nimefunga pm kwa ajili ya nauli ya watuhumu si ningeanzishiwa thread


Wa kutuma hyo hela nan kwa mfanomm anitumie tu hiyo hela halaf ww mbona unanihalibia
kwahyo mnakua mmeshakubaliana kabisa akija n mikasi tuKuna cha ajabu zaidi ya mikasi!!?
mm sijui lkn amenisingiziaWa kusingiziwa wameisha enhee?
WANATUTUMIA SANA HAHAHA WEE TU NA ROHO YAKO TENA ZA TAXI NA SISI TUNAPANDA BODABODAKama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".
Ni hayo tu.
kwa pm tuNikutumie kw njia gani mamake