Shunie me nataka nikutumie nauliwajinga hawaishi acha watumiwe nauli hakuna namna na huko Facebook kwenu wengi mnapigwa kwa style hizo

HahahaAcha tu naona kaanza kunsomea ramani acha kwanza nianze kumleta kwenye himaya zangu
Ha ha ha ha hata nauli silipi namtuma boda boda wangu akamfate asilete uchizNamjua huyo . Alitumiwa nauli kuzima msala amefunga pm hadi na leo
mm anitumie tu hiyo hela halaf ww mbona unanihalibiaTehteh... nitamshauri tu alipie ofisi za tashrif au raha leo hapo dureslam upewe ticket tu
Tema mate chini..Daby ananisingizia
Ishia zako mie sio kunguruhahahhhh ww apo kumbuka ulivyosema na Daby alivyomalizia
Ishia zako mie sio kunguruhahahhhh ww apo kumbuka ulivyosema na Daby alivyomalizia
Nimeachamm anitumie tu hiyo hela halaf ww mbona unanihalibia
Wajinga ndio waliwao. Mara ya mwisho kutuma pesa kwa maza ilikuwa lini??Dah kumbe tuliopigwa tuko wengi. Mwaka jana december nililiwa hela ya ticket ya fast jet toka Arusha kuja Dar, mpaka leo hajafika Dar na simu yake haipatikani tena japo namfahamu vizuri mpaka anapofanyia kazi. Nimeuchuna japo naumia ndani kwa ndani
Kuna cha ajabu zaidi ya mikasi!!?hahahhh akija unataka kumfanya nn
uko wap utumiwe nauriNitumie mm nauli nakuja
Wa kusingiziwa wameisha enhee?Daby ananisingizia
Tuma tuShunie me nataka nikutumie nauli![]()
Unatokea wapi?Nitumie mm nauli nakuja
Elf 4 au elf 40000Mm week hii tu mjinga kala 4000 yng shenz sana