Wanaume wenzangu msitume nauli

Wanaume wenzangu msitume nauli

Kamanda anakumbushia. Msijesema hamkuambiwa.
20190220_223709.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanawake wanazurula wa nauza papuchi,ukimuuliza kulikoni yeye anakwambia alikuwa msibani,dunia iangalie tu hivi ina mambo mengi sana yani wao tu ndo huwa wanauguliwa na mama zao,wao tu ndo huwa wanapata misiba..ee Mungu tusaidie sisi wanaume ambao bado tunaamini kuwa maisha yetu hayawezi kusonga mbele bila kuishi na hawa viumbe japo wengi wao ni wanafiki wanaopenda kuchuna upande mmoja wao wasichunwe.
 
Back
Top Bottom