Mi natuma tu. Asipokuja namtumia mwingine.tuma tuu
Weee kuna mmoja alinambia kabisa nimuwekee full tank kwenye vitz ndo aje.Msipende kutongoza wanawake wasio na kazi.
Ndio maana wanaomba nauli.
Tafuta mwenye usafiri wake atakuja na Wala hakuombi hela ya Mafuta.
Shubaaamit!!!!
Hukuwahi kummega kabisa kabla!?Dah lakini me nlituma nauli akaja chamsingi umakini unatakiwa
Mkuu finally umeamua kuwasemea wahanga wengi wa hili. Kuongezeka kwa social networks imewafanya wanawake wabuni njia mpya ya kujiingizia fedha bila usumbufu na ukata huu we acha tu, mbumbumbu wa mapenzi wanaliwa sana. Ukienda badoo, tango, bongo five, facebook na mingineyo kumtongoza demu na kukubaliwa ni kawaida sana ila jiandae kutolewa fedha kupitia njia ya nauli ili akufuate ulipo hahahaKama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".
Ni hayo tu.

Huyo aliazima gari mkuuWeee kuna mmoja alinambia kabisa nimuwekee full tank kwenye vitz ndo aje.


Ha ha haa ...amekimbia mkojoKuna mwanamke nimemtongoza mda mrefu ananizungusha. Jumapili iliyopita kaniambia nimlushie nauri nikamtumia elf kumi na tano yeye anakaa tegeta, mzee mzima nimemsubili iyo jumapili ajatokea nampigia cm apokei. Nikaona isiwe tabu nikaenda kwawakala nilipolushia ela nikawambia nimekosea namba naomba iyo ela niloyotuma iludi. Nikaludishiwa ela yangu nikafuta na namba yake. Sipendi ujinga
Mkuu upo sahihi kabisaa huwa tunahangaika kuwagharamia wa mbali wakat unaweza kumpata wa karibu ukaepuka gharama kubwaUnatuma nauli zaidi ya 50 demu akija kula, kulala na kumtoa kidogo jumla zaidi ya laki!! Wakati hiyo laki hapo ulipo unaweza gonga demu wa maana sana tu. Acheni uvivu wa kutongiza
Mkuu upo sahihi kabisaa huwa tunahangaika kuwagharamia wa mbali wakat unaweza kumpata wa karibu ukaepuka gharama kubwaUnatuma nauli zaidi ya 50 demu akija kula, kulala na kumtoa kidogo jumla zaidi ya laki!! Wakati hiyo laki hapo ulipo unaweza gonga demu wa maana sana tu. Acheni uvivu wa kutongiza