Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
kama wewe ulivyo na njaa ya papuchiInawezekana. Nilimshangaa mbona ana njaa sana! Mafuta ya kwenye vitz tu shida!
kama wewe ulivyo na njaa ya papuchiInawezekana. Nilimshangaa mbona ana njaa sana! Mafuta ya kwenye vitz tu shida!
Acha uchochezi. Ujue unatuzibia magenzakina dada kama hujapewa hata mia usitoe papuchi
Visa vipo vingi....demu mnaelewana kabisa yupo Namtumbo huko....mnakubaliana vizuri lkn akishapata tu msg simu inapotea hewani

Wasichana wa sasa ni ombaomba kuliko matonya,Kama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".
Ni hayo tu.
Mi nna njaa ya puchi tu lkn yeye na dushe piakama wewe ulivyo na njaa ya papuchi
Ni ushauri tu.Sasa huo ubahili tu au chapaa huna usije ukawapeperushia wenziio ndege wao ,kila mbuzi ale urefu wa kamba yake bhana
Hawataki. Wanataka uwatumie pesa, na sio Ticket au namba ya kitiUnamkatia ticket ya bus akifika anapanda tu anakuja!wasitubababaishe!
Elf 15 kutoka tegeta kwenda wapi?? Hapa hapa town 15 kubwa sanaKuna mwanamke nimemtongoza mda mrefu ananizungusha. Jumapili iliyopita kaniambia nimlushie nauri nikamtumia elf kumi na tano yeye anakaa tegeta, mzee mzima nimemsubili iyo jumapili ajatokea nampigia cm apokei. Nikaona isiwe tabu nikaenda kwawakala nilipolushia ela nikawambia nimekosea namba naomba iyo ela niloyotuma iludi. Nikaludishiwa ela yangu nikafuta na namba yake. Sipendi ujinga
Me nakaa ubungo makoka. Hiyo ela niliyomlushia pamoja na malipo yake kama angekuja nisingempa ela nyingine ndio tungekua tumemalizana ivyo.Elf 15 kutoka tegeta kwenda wapi?? Hapa hapa town 15 kubwa sana
Kama hawataki namba ya tiket wasije wakae kwao tu washenzi wakubwa hao!kuna mmoja alitaka nauli nkamuambia kuna gari la kazini linakuja dar nakupa namba uje na lift akagoma,nikamuambia kuna pilot wa wageni ana nafasi moja nenda airpot akagoma,nami nilikuwa nampima tu hakuna hayo yote nikajua anataka pesa aingie mitini!Hawataki. Wanataka uwatumie pesa, na sio Ticket au namba ya kiti
Hahahahaha sasa wewe unalipa kabla haujapewa Huduma? Tegeta to Makoka hata buku mbili haiishii, Mimi kuna mzigo nilikuwa napiga unatoka chalinze to Makoka 7000 tu inatoshaMe nakaa ubungo makoka. Hiyo ela niliyomlushia pamoja na malipo yake kama angekuja nisingempa ela nyingine ndio tungekua tumemalizana ivyo.
Hahahahah unamwambia kopa kwa mwenzio nitakurudishiaIshawahi kunitokea miaka hiyo .
Nilikuwa Nina ugwadu balaa
Demu akaniambia nimtumie nauli nikajikung'uta nikatoa 30k
Siku ya kukutana akaanza kuleta vijisababu ooooh wazazi wamenizuia ooooh sijui nini
Pumbavu nilimaindi kichizi na mpunga wangu ulishaenda kagoma kuurudisha
Akili ikakaa sawa since then situmi nauli
Nawaambia njoo nitakurudishia nauli ukifika
Utasikia hapa hamna aliyenayo hata mmoja!Hahahahah unamwambia kopa kwa mwenzio nitakurudishia
Hahahaha mkuu hawa viumbe inatakiwa uongo mwingi ndio unawapata. Nilijua nikimtumia iyo ela atakuja fastaHahahahaha sasa wewe unalipa kabla haujapewa Huduma? Tegeta to Makoka hata buku mbili haiishii, Mimi kuna mzigo nilikuwa napiga unatoka chalinze to Makoka 7000 tu inatosha
YEAAAAAAAAAAAAAAP, maelekezo ya kiume hayo. Kuna mmoja niliwahi kumwambia, nishawishi ukiwa mtupu ili niulazimishe mkono wangu ukupe kilicho mfukoni.Hahahahah unamwambia kopa kwa mwenzio nitakurudishia
hatari sana mambo ya kutuma nauli mapema unaliwa kijingaYEAAAAAAAAAAAAAAP, maelekezo ya kiume hayo. Kuna mmoja niliwahi kumwambia, nishawishi ukiwa mtupu ili niulazimishe mkono wangu ukupe kilicho mfukoni.