Wanaume wenzangu msitume nauli

Wanaume wenzangu msitume nauli

Januari majuz tu nilikutana na demu moja hivi kwenye field kijiji fulani hapa arusha. Dem ni mwongeaji mzuri na yuko vizuri kwa hali zote. Nikamwomba anisaidie shughuli fulan alafu jioni nikamtoa na hela kidogo. Nikasahau kuchukua namba zake, coz sikuwa na mpango wa kurudi kule. Wiki ilopita nikapangiwa tena kule kijijin kwao, moyoni nikasema nimsake yule dem ili anipe kampan na anisaidie kazi coz ni mshap sana pia nilianza kumpenda... Nilifika kijijin kwao nikamsaka nilimpata, na alinisaidia Kazi vizuri tu, sasa jion nikatupa ndoano, akanijibu kuwa atakuja mjini ili tuongee vizuri ila hana nauli. Nikamwambia ntakutumia... Nilipofika mjini nikamwomba aje na nikamtumia nauli, mda ulienda hakuja, baadae akaniambia amekwama coz alikuwa na mgonjwa hivo ile hela imetumika. Tukapanga tena siku nyingine na nikamtumia nauli tena, akaniambia amekwama tena kwasababu mamake sijui nin nin, na akamalizia kuomba hela ya vocha na soda. Mda huo huo nikakata cm akashtuka akapiga sijapokea akapiga weeee na kupiga na kupiga baadae kwa msg akaomba atakuja jioni mjini, nikajibu asihangaike tena imetosha. Jana akanitumia msg kuwa kaja, sikumjibu
kwann usiende kumpokea mkuu?
 
Januari majuz tu nilikutana na demu moja hivi kwenye field kijiji fulani hapa arusha. Dem ni mwongeaji mzuri na yuko vizuri kwa hali zote. Nikamwomba anisaidie shughuli fulan alafu jioni nikamtoa na hela kidogo. Nikasahau kuchukua namba zake, coz sikuwa na mpango wa kurudi kule. Wiki ilopita nikapangiwa tena kule kijijin kwao, moyoni nikasema nimsake yule dem ili anipe kampan na anisaidie kazi coz ni mshap sana pia nilianza kumpenda... Nilifika kijijin kwao nikamsaka nilimpata, na alinisaidia Kazi vizuri tu, sasa jion nikatupa ndoano, akanijibu kuwa atakuja mjini ili tuongee vizuri ila hana nauli. Nikamwambia ntakutumia... Nilipofika mjini nikamwomba aje na nikamtumia nauli, mda ulienda hakuja, baadae akaniambia amekwama coz alikuwa na mgonjwa hivo ile hela imetumika. Tukapanga tena siku nyingine na nikamtumia nauli tena, akaniambia amekwama tena kwasababu mamake sijui nin nin, na akamalizia kuomba hela ya vocha na soda. Mda huo huo nikakata cm akashtuka akapiga sijapokea akapiga weeee na kupiga na kupiga baadae kwa msg akaomba atakuja jioni mjini, nikajibu asihangaike tena imetosha. Jana akanitumia msg kuwa kaja, sikumjibu
Nenda tu buanaa mwanaume hasusi
 
Aisee nimecheka na kukumbuka mbali sana enzi hizo tupo chuo.
Baada ya UE semester ya mwisho sisi tulibaki hostel one of room mate alifanya kosa kama hilo katuma nauli ZNZ aisee alisubiri boti iingie kwa week nzima mpka ikabidi asafiri na ela ikaliwa na mzenji
 
Aisee nimecheka na kukumbuka mbali sana enzi hizo tupo chuo.
Baada ya UE semester ya mwisho sisi tulibaki hostel one of room mate alifanya kosa kama hilo katuma nauli ZNZ aisee alisubiri boti iingie kwa week nzima mpka ikabidi asafiri na ela ikaliwa na mzenji
Hahahaaaa
 
nlituma 57500 mtoto atoke arusha aje dar ila kifika asubuh napiga simu haipatikani.. baada ya kama mwezi hvi demu akantafuta eti excuse yake ni kwamba baba na mama ake walipigana akashindwa kutoka.. mzee nlijaa povu nkifikiria ile 57 ningeruka kuanzia friday to saturday.. mademu wanaishi kwa ujanja ujanja saaaana
 
Hahahahahaha duu aisee mkuu iyo juzi juzi tu imemtokea rafiki angu demu kamtumia nauri aje airport toka buza jamaa katuma nauri demu hajatokea jamaa leo siku ya saba analalamika
 
nlituma 57500 mtoto atoke arusha aje dar ila kifika asubuh napiga simu haipatikani.. baada ya kama mwezi hvi demu akantafuta eti excuse yake ni kwamba baba na mama ake walipigana akashindwa kutoka.. mzee nlijaa povu nkifikiria ile 57 ningeruka kuanzia friday to saturday.. mademu wanaishi kwa ujanja ujanja saaaana
Mkuu siku nyingine nenda tu pale shekilango kalipie ticket darexpress au klm express
 
Back
Top Bottom