dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
- Thread starter
- #221
Kabisa mkuuUsitume pesa tuma tiketi
Kabisa mkuuUsitume pesa tuma tiketi
Kwa niaba ya wanachama nasema ahsante.Pole sana..
Jitoe ufahamu tu bora pesa ipotee kwa wakata tiketi kuliko ale yeye kijinga jingaKabisa mkuu
Tanga kuna fast jet? Kumbe rahisi ntakutumia tiketiNina ndinga yangu mwenyewe nahitaji full tank bills au air ticket ya fast jet
Wewe kumbe hauna gharama.mia nne tu yantosha maana nnapokaa ni katikat ya mji popote naenda kwa 400 au 600
sana tuWewe kumbe hauna gharama.
mbona umetumia namtumbo brVisa vipo vingi....demu mnaelewana kabisa yupo Namtumbo huko....mnakubaliana vizuri lkn akishapata tu msg simu inapotea hewani
Januari majuz tu nilikutana na demu moja hivi kwenye field kijiji fulani hapa arusha. Dem ni mwongeaji mzuri na yuko vizuri kwa hali zote. Nikamwomba anisaidie shughuli fulan alafu jioni nikamtoa na hela kidogo. Nikasahau kuchukua namba zake, coz sikuwa na mpango wa kurudi kule. Wiki ilopita nikapangiwa tena kule kijijin kwao, moyoni nikasema nimsake yule dem ili anipe kampan na anisaidie kazi coz ni mshap sana pia nilianza kumpenda... Nilifika kijijin kwao nikamsaka nilimpata, na alinisaidia Kazi vizuri tu, sasa jion nikatupa ndoano, akanijibu kuwa atakuja mjini ili tuongee vizuri ila hana nauli. Nikamwambia ntakutumia... Nilipofika mjini nikamwomba aje na nikamtumia nauli, mda ulienda hakuja, baadae akaniambia amekwama coz alikuwa na mgonjwa hivo ile hela imetumika. Tukapanga tena siku nyingine na nikamtumia nauli tena, akaniambia amekwama tena kwasababu mamake sijui nin nin, na akamalizia kuomba hela ya vocha na soda. Mda huo huo nikakata cm akashtuka akapiga sijapokea akapiga weeee na kupiga na kupiga baadae kwa msg akaomba atakuja jioni mjini, nikajibu asihangaike tena imetosha. Jana akanitumia msg kuwa kaja, sikumjibu
kwann usiende kumpokea mkuu?Nenda tu buanaa mwanaume hasusiJanuari majuz tu nilikutana na demu moja hivi kwenye field kijiji fulani hapa arusha. Dem ni mwongeaji mzuri na yuko vizuri kwa hali zote. Nikamwomba anisaidie shughuli fulan alafu jioni nikamtoa na hela kidogo. Nikasahau kuchukua namba zake, coz sikuwa na mpango wa kurudi kule. Wiki ilopita nikapangiwa tena kule kijijin kwao, moyoni nikasema nimsake yule dem ili anipe kampan na anisaidie kazi coz ni mshap sana pia nilianza kumpenda... Nilifika kijijin kwao nikamsaka nilimpata, na alinisaidia Kazi vizuri tu, sasa jion nikatupa ndoano, akanijibu kuwa atakuja mjini ili tuongee vizuri ila hana nauli. Nikamwambia ntakutumia... Nilipofika mjini nikamwomba aje na nikamtumia nauli, mda ulienda hakuja, baadae akaniambia amekwama coz alikuwa na mgonjwa hivo ile hela imetumika. Tukapanga tena siku nyingine na nikamtumia nauli tena, akaniambia amekwama tena kwasababu mamake sijui nin nin, na akamalizia kuomba hela ya vocha na soda. Mda huo huo nikakata cm akashtuka akapiga sijapokea akapiga weeee na kupiga na kupiga baadae kwa msg akaomba atakuja jioni mjini, nikajibu asihangaike tena imetosha. Jana akanitumia msg kuwa kaja, sikumjibu
Basi ntakutumia nauri ya taxi. Maana maandiko yanasema ajishushaye atakwezwa.sana tu
Ni mfano tumbona umetumia namtumbo br
HahahaaaaAisee nimecheka na kukumbuka mbali sana enzi hizo tupo chuo.
Baada ya UE semester ya mwisho sisi tulibaki hostel one of room mate alifanya kosa kama hilo katuma nauli ZNZ aisee alisubiri boti iingie kwa week nzima mpka ikabidi asafiri na ela ikaliwa na mzenji
Usicheke mkuu. Wanaume tunasumbuliwa na mengi sana
Poleni! Ndo maishaUsicheke mkuu. Wanaume tunasumbuliwa na mengi sana
Nawe unafanya haya!?Poleni! Ndo maisha
Mkuu siku nyingine nenda tu pale shekilango kalipie ticket darexpress au klm expressnlituma 57500 mtoto atoke arusha aje dar ila kifika asubuh napiga simu haipatikani.. baada ya kama mwezi hvi demu akantafuta eti excuse yake ni kwamba baba na mama ake walipigana akashindwa kutoka.. mzee nlijaa povu nkifikiria ile 57 ningeruka kuanzia friday to saturday.. mademu wanaishi kwa ujanja ujanja saaaana